Ze burner
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 514
- 83
Habari wana JF.
katika hali ya kujikwamua na tatizo la maji niliamua kuchimba kisima "open well" na kwa bahati nzuri maji yamepatikana, kwa muda sasa kinatumika. tatizo ni kwamba maji yake bado hayajatakata ie still kinatoa "milk/cloudy water. nimejaribu google inanipa majibu ya aquarium pamoja na pool water tu. jee ndugu zangu nifanyeje ili haya maji yawe kama ya bomba niweze kutumia kwa matumizi mengi zaidi? Msaada tafadhali.
katika hali ya kujikwamua na tatizo la maji niliamua kuchimba kisima "open well" na kwa bahati nzuri maji yamepatikana, kwa muda sasa kinatumika. tatizo ni kwamba maji yake bado hayajatakata ie still kinatoa "milk/cloudy water. nimejaribu google inanipa majibu ya aquarium pamoja na pool water tu. jee ndugu zangu nifanyeje ili haya maji yawe kama ya bomba niweze kutumia kwa matumizi mengi zaidi? Msaada tafadhali.