msaada: maji ya kisima!!!

Ze burner

JF-Expert Member
Jan 5, 2011
514
83
Habari wana JF.

katika hali ya kujikwamua na tatizo la maji niliamua kuchimba kisima "open well" na kwa bahati nzuri maji yamepatikana, kwa muda sasa kinatumika. tatizo ni kwamba maji yake bado hayajatakata ie still kinatoa "milk/cloudy water. nimejaribu google inanipa majibu ya aquarium pamoja na pool water tu. jee ndugu zangu nifanyeje ili haya maji yawe kama ya bomba niweze kutumia kwa matumizi mengi zaidi? Msaada tafadhali.
 
Habari wana JF.

katika hali ya kujikwamua na tatizo la maji niliamua kuchimba kisima "open well" na kwa bahati nzuri maji yamepatikana, kwa muda sasa kinatumika. tatizo ni kwamba maji yake bado hayajatakata ie still kinatoa "milk/cloudy water. nimejaribu google inanipa majibu ya aquarium pamoja na pool water tu. jee ndugu zangu nifanyeje ili haya maji yawe kama ya bomba niweze kutumia kwa matumizi mengi zaidi? Msaada tafadhali.

Kwanza hongera kwa kuyapata maji.

Sina utalaam sana na open well, je umechimba umbali gani mpaka ukayapata maji? Hakikisha tu isije ikawa ni juu juu maana yawezekana ikawa maji machafu unayopata. Peleka sample ya hayo maji ikapimwe maabara kama haina wadudu wa kusababisha magonjwa. Vilevile maji yapimwe ili kujua viwango vya madini mbalimbali kwenye maji hayo ili kujua kama yanafaa kwa matumizi ya binadamu e.g kunywa au kupikia.

Kuhusu kuyafanya yawe meupe, tumia pampu iwe inayatoa nje mpaka yatakuwa meupe tu. Rangi ya maziwa inatokana na wakati wa uchimbaji.
Inaweza kukuchukua siku mbili tatu mpaka maji yawe meupe, unatakiwa uyapampu nje mfululizo mpaka yatakate.

Kama hali ya uchumi inakuruhusu itakuwa vizuri kama ukichimba "Bore Hole' kisima chako kitakuwa na usalama zaidi wa kiafya kuliko open well.
 
Kwanza hongera kwa kuyapata maji.

Sina utalaam sana na open well, je umechimba umbali gani mpaka ukayapata maji? Hakikisha tu isije ikawa ni juu juu maana yawezekana ikawa maji machafu unayopata. Peleka sample ya hayo maji ikapimwe maabara kama haina wadudu wa kusababisha magonjwa. Vilevile maji yapimwe ili kujua viwango vya madini mbalimbali kwenye maji hayo ili kujua kama yanafaa kwa matumizi ya binadamu e.g kunywa au kupikia.

Kuhusu kuyafanya yawe meupe, tumia pampu iwe inayatoa nje mpaka yatakuwa meupe tu. Rangi ya maziwa inatokana na wakati wa uchimbaji.
Inaweza kukuchukua siku mbili tatu mpaka maji yawe meupe, unatakiwa uyapampu nje mfululizo mpaka yatakate.

Kama hali ya uchumi inakuruhusu itakuwa vizuri kama ukichimba "Bore Hole' kisima chako kitakuwa na usalama zaidi wa kiafya kuliko open well.

thanx kwa ushauri. kisima changu kwa sasa kina urefu wa kama futi 40. sasa ngoja nitafute hiyo maabara kwa huku kwetu ili kuyatafiti.
 
Please ni PM ukipata report ya maabara. Futi 40 ni sawa na mita 12 hivi, pata kwanza majibu ya maabara.
 
Back
Top Bottom