Occupy
Member
- Jul 4, 2022
- 9
- 13
Habari wakuu, Moja kwa moja kwenye mada.
Wiki iliyopita nilikamilisha uchimbaji na ujengeleaji wa KISIMA changu kwa matumizi ya nyumbani na maji yamepatikana kwa wingi japo Yana chumvi kidogo.
Sasa shida imeanza, Maji ukiyaangalia meupe na masafi lakini ukipikia vyakula kama ndizi zinaiva hali ya kuwa zimekuwa nyeusi sana. Ukipikia maharage yakiiva yanakuwa na rangi nyeusi au zambarau tofauti na rangi mloizoea ya maharage yakiiva.
Tangu tuanze kuyatumia maji haya kunawa na kuoga ngozi zetu zimebadilika rangi tumeanza kuwa weusi.
Baadhi ya vyombo vya plastic vyenye rangi nyeupe tunavyotumia kuchota maji haya vimebadilika na kuwa na weusi. Kwa sasa tumeacha kuyatumia Kwanza. Nipo Tabora.
MSAADA WA MAWAZO/USHAURI.
Natanguliza shukrani.
Wiki iliyopita nilikamilisha uchimbaji na ujengeleaji wa KISIMA changu kwa matumizi ya nyumbani na maji yamepatikana kwa wingi japo Yana chumvi kidogo.
Sasa shida imeanza, Maji ukiyaangalia meupe na masafi lakini ukipikia vyakula kama ndizi zinaiva hali ya kuwa zimekuwa nyeusi sana. Ukipikia maharage yakiiva yanakuwa na rangi nyeusi au zambarau tofauti na rangi mloizoea ya maharage yakiiva.
Tangu tuanze kuyatumia maji haya kunawa na kuoga ngozi zetu zimebadilika rangi tumeanza kuwa weusi.
Baadhi ya vyombo vya plastic vyenye rangi nyeupe tunavyotumia kuchota maji haya vimebadilika na kuwa na weusi. Kwa sasa tumeacha kuyatumia Kwanza. Nipo Tabora.
MSAADA WA MAWAZO/USHAURI.
Natanguliza shukrani.