Stability
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 571
- 1,829
Habari wana JF,
Kwa wale ambao wanalifahamu jiji la Mwanza vizuri, ni Maeneo au Mitaa gani ya kuishi (kupanga nyumba/chumba) ambayo yanalandana na sifa zifuatazo?:
1. Sio maeneo ya uswazi/uswahilini.
2. Hayana matukio makubwa ya wizi na vibaka.
3. Upatikanaji wa karibu wa huduma za kijamii na kiuchumi. (maji, kiosk, ..etc).
4. Inaweza kuwa nje ya mji ila isiwe mbali sanaa na mjini kivile.
5. Haikumbwi na mafuriko wakati wa mvua.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wale ambao wanalifahamu jiji la Mwanza vizuri, ni Maeneo au Mitaa gani ya kuishi (kupanga nyumba/chumba) ambayo yanalandana na sifa zifuatazo?:
1. Sio maeneo ya uswazi/uswahilini.
2. Hayana matukio makubwa ya wizi na vibaka.
3. Upatikanaji wa karibu wa huduma za kijamii na kiuchumi. (maji, kiosk, ..etc).
4. Inaweza kuwa nje ya mji ila isiwe mbali sanaa na mjini kivile.
5. Haikumbwi na mafuriko wakati wa mvua.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app