nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,033
- 2,945
Mkuu, nipatie sifa unazozipenda katika eneo hilo..na vipi patanifaa kutokana na sifa nilizo ziolodhesha..
Maeneo yapo mengi chief kuna Bwiru, Ilemela, Kiloleli, M9, Igoma n.k yana sehemu nzuri sana za kuishi, huduma za kijamii nzur pia... Au si ungeendako ukafanya survey ukaona wapi panakufaa.ahsante sana kwa mwangaza mzuri boss wangu,.. unaweza kunisaidia maeneo mengine ya kufanana na Mwananchi ili niwe na options tofauti, samahani kwa usumbufu pia..
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah, survey yenyewe ndio nimeanzia hapa then baadae niitangia mtaani, ahsante boss.Maeneo yapo mengi chief kuna Bwiru,ilemela,kiloleli,M9,igoma n.k yana sehemu nzur sana za kuishi,Huduma za kijamii nzur pia...Au si ungeendako ukafanya survey ukaona wapi panakufaa.
Kuanzia kona pale hatajuta kukaa mitaa ile, sema SAUT wakifunnga bar nyingi huwa hazina mvuto!Nyegezi
Hiyo mitaa miaka ya 2005-6 nilikuwa napita pita huko aise ukivaa mkanda nje unaionekana kituko flani na uwe makini hasa unaweza rudi ukiwa umebaki na tait tu!Nenda Mabatini, Sahara, Igogo, Mkuyuni, Butimba, Bugalika na Kirumba hii ndio mwanza kwingine kote maigizo tu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hiyo mitaa miaka ya 2005-6 nilikuwa napita pita huko aise ukivaa mkanda nje unaionekana kituko flani na uwe makini hasa unaweza rudi ukiwa umebaki na tait tu!


kuna kipindi kupita sahara tu mchana unaogopa acha usiku, Igogo ndio lilikuwa chimbo la bangi na majambazi ila walikuwa wanaenda kuiba mbali lakini ndio uzuri, mabatini kila nyumba lazima inauza gongo au pombe yoyote ya kienyeji Shida ya maji imeisha buhongwa?Nimeishi buhongwa miaka mitatu pako vizuri+huduma zote za kijamii,patakufaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyamanoro uswahilini.Nyamanoro
Sent using Nokia Asha
Usijal unapata majibu mkuuMkuu aliyesema Mwananchi namsupport. Ila mkuu mimi kwanza unijibu haya maswali ili nikupe majibu ya uhakika.
Una usafiri binafsi?
Kazi yako ni mjini kila siku?
Watoto/wanafunzi wanahitaji kwenda shule maeneo gani?
Nakupa sehemu moja, Nyasaka.
Humtakii mema mwenzio halafu umesahau ShedeNenda Mabatini, Sahara, Igogo, Mkuyuni, Butimba, Bugalika na Kirumba hii ndio mwanza kwingine kote maigizo tu
Sent from my iPhone using JamiiForums

