Niongezee senti sumuni.
Habari ni maelezo[information] zinazosikika, zinaweza kumhusu mtu moja kwa moja au kwa kupitia. Mathalani unaweza kusikia habari ya ndege kuanguka na ukakumbuka kuwa ndugu yako alikuwa msafiri ndani ya ndege hiyo. Hapa imekugusa [indirectly] na [directly]. Utakapokwenda nyumbani kuwaambia kuwa ndugu yenu alikuwa ndani ya ndege iliyoanguka hiyo si habari tena ni taarifa.
Kwa maneno mengine huwezi kuletewa habari za msiba wa anayekuhusu moja kwa moja, ila utaletewa taarifa Baba/Mama/Dada/ n.k amefariki. Lakini utakaposikia mchezaji fulani amefariki hiyo ni habari, kama anakuhusu basi hutatoa habari bali taarifa.