MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Nimekuwa nikisikia redio na televisheni zetu zikitumia neno "Taarifa ya Habari". Huwa nina wasiwasi na matumizi ya maneno haya mawili kwa pamoja. Ninaomba wataalamu wa kiswahili wanisidie kujuwa:
1. Nini maana ya neno TAARIFA?
2. Nini maana ya neno HABARI?
3. Kwa nini lisitumike neno moja tu kati ya haya mawili, hasa hili la pili?
1. Nini maana ya neno TAARIFA?
2. Nini maana ya neno HABARI?
3. Kwa nini lisitumike neno moja tu kati ya haya mawili, hasa hili la pili?