U'r most welcomeNami naja Moro kesho nahitaji kukirimiwa
Duuuu muda sana nimemiss eneo muhimu hiloUnajuaga kabisa kuwa sikoseagi goli nikipewa mpira.....we subiri matokeo.
Kitimoto ya kwa mama Kamche itatukoma.
Mdau wa CatalunyaDuuuu muda sana nimemiss eneo muhimu hilo
Nikija likizo toka hapa mafichoni lazima nitinge pale huku nikivinjari kanisa la kakobe
Shida ya wadau huwa hatutafutani,ujamaa wenu mwisho jf tu..
Kalabash MwengeMdau wa Catalunya
Naomba maelezo yake kidogo. Ipo maeneo gani? Na vipi muonekano wake wa ndani mpaka mazingira ya nje.
Mkuu umeshapata kibali cha kuja Morogoro? Siku hizi ukitaka kuja Mji kasoro bahari unatuma maombi kwa mkuu wa mkoa, halafu utembee na cheti cha ndoa kabisa maana ukikutwa chumbani uko na mwanamke bila cheti cha ndoa unalo!!nategemea kwenda morogoro mjini mwezi June mwanzon. tafadhali naomba wenye uzoefu waniambie ni lodge/motel/hotel gani nzuri, usafi wa kutosha, yenye usalama wa kutosha, utulivu na bei kati ya sh 25,000 hadi 35,000/ per day
Kahumba habari ya moroNenda kahumba utalala usingizi mwororo
Nenda tabora motel, pazuri, pasafi na bei nafuu. google tabora motel utapata namba zao na bei za vyuma.Wakuu habari zenu. Nimepata safari ya kikazi Morogoro na mimi ni mgeni.Naomba mnijuze lodge Nzuri maeneo ya mjini. Uwezo wangu ni Elfu 20,000/= kwa siku na nina tegemea kukaa kwa siku 5.
Natanguliza shukrani.
matu lazma uondoke na kunguni kama luanda innNenda MATU LODGE ipo mtaa wa Mlapakolo ukivuka Mount Uluguru hotel mbele kuna Blue Palm bar hlf hesabu km nyumba tano upande wa kushoto utaiona,bei nafuu haizidi sh 10,000/= na ulinzi upo wa kutosha