Aongeze japo elfu 5 iwe 40 Top life ni pazuriMkuu nilisha lala Top Life hotel few yrs ago. Safe, clean, good location to all over town
Elfu 25 unataka five star?akili gani hiyo?acha mkwara wa chura kwa tembo.
Lol!waachie walionielewa wachangie thread yangu. wewe MYOB
pamokousijl
poa, wewe niPM tuandae mambo vizuri.
Hizo hoteli ulizomtajia bei yake ni kubwa Flomi ni 70,000/= na Kingsway 50,000/= (bei ya chini) aende tu guest za nyuma ya Msamvu ziko nyingi tu kwa hiyo hela yakeFLOMI HOTEL ILIYOJENGWA JUU YA BOMBA LA MAFUTA. UKIKOSA HIYO NENDA KINGSWAY ALONG IRINGA ROAD. JIRANI SANA NA MSAMVU
Hakikisha kabla ya kulala madirisha ufunge kama ya vioo la sivyo utalia wanaweza kulowa vitu vyako vyotegwami ya msamvu sio mbaya maeneo mengine ni nyuma ya stand ya msamvu kuna ma guest house mazuri sana kwa bei yako hiyo
mkuu jozzeva umenikumbusha mbali mganga guest imeshakufa dah ile ndo mitaa yangu kwa mzee mwanjisi ndipo nilipokulia mbele kuna duka si ndio inatazamana na nyumba ya tindwaMGANGA GUEST HOUSE,Mitaa ya saba saba,inaangaliana na nyumba ya mzee mwanjisi[R.I.P]
Karibu na wewe ukirimiweKumbe watu wa Moro ni wakarimu hivyo? Safi sana Madame B na cute datty
Wakarimu sana...sana.Kumbe watu wa Moro ni wakarimu hivyo? Safi sana Madame B na cute datty
Hahahaaaaaa Usijali best, Chagua viwalo vilivyoenda shule maana wanatuonaga si “wamkoani“Wakarimu sana...sana.
cute datty endelea kupokea wageni.....mie naandaa viwalo vya kuvaa jioni tukitoka na 'wanaume wa Dar' wanaokuja hapa Moro
magufuli akisoma comment yako lazima akupe U-DCDah.,, kuna night clubs nyingi tu Moro unaweza kukesha hapo ukasave pesa yako angalau urudi na zawadi ya machungwa [emoji12]
Flomi Hotel hakuna vyumba vya Tshs. 30,000. Pale ni Tshs 80,000 kwenda mbele. Ila wapo vizuri sanaFLOMI HOTEL ILIYOJENGWA JUU YA BOMBA LA MAFUTA. UKIKOSA HIYO NENDA KINGSWAY ALONG IRINGA ROAD. JIRANI SANA NA MSAMVU
Nami naja Moro kesho nahitaji kukirimiwaKaribu na wewe ukirimiwe