Msaada lodge/motel/hotel nzuri Morogoro mjini

Msaada lodge/motel/hotel nzuri Morogoro mjini

Kig

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2012
Posts
1,079
Reaction score
469
nategemea kwenda morogoro mjini mwezi June mwanzon. tafadhali naomba wenye uzoefu waniambie ni lodge/motel/hotel gani nzuri, usafi wa kutosha, yenye usalama wa kutosha, utulivu na bei kati ya sh 25,000 hadi 35,000/ per day
 
gwami ya msamvu sio mbaya maeneo mengine ni nyuma ya stand ya msamvu kuna ma guest house mazuri sana kwa bei yako hiyo
 
Lyamungo lodge 25000 ipo ya misufini na hapo nyuma ya stand ya Msamvu. Ni wasafi sana na pia ulinzi wa kutosha
 
nategemea kwenda morogoro mjini mwezi June mwanzon. tafadhali naomba wenye uzoefu waniambie ni lodge/motel/hotel gani nzuri, usafi wa kutosha, yenye usalama wa kutosha, utulivu na bei kati ya sh 25,000 hadi 35,000/ per day
Kidupi, sio mbali na msamvu, wana huduma nzuri sana, 25,000 unapata room kuubwa kali, inavutia...yaani wako vizuri kwa ujumla
 
nategemea kwenda morogoro mjini mwezi June mwanzon. tafadhali naomba wenye uzoefu waniambie ni lodge/motel/hotel gani nzuri, usafi wa kutosha, yenye usalama wa kutosha, utulivu na bei kati ya sh 25,000 hadi 35,000/ per day
Mkuu nilisha lala Top Life hotel few yrs ago. Safe, clean, good location to all over town
 
nategemea kwenda morogoro mjini mwezi June mwanzon. tafadhali naomba wenye uzoefu waniambie ni lodge/motel/hotel gani nzuri, usafi wa kutosha, yenye usalama wa kutosha, utulivu na bei kati ya sh 25,000 hadi 35,000/ per day
Ukihitaji company ya kunywa na mengineo nitafute.
Nataka kutekeleza sera ya Evelyn Salt Wake kwa waume haki sawa kijinsia...na kidini
 
Back
Top Bottom