Unajuaga kabisa kuwa sikoseagi goli nikipewa mpira.....we subiri matokeo.Hakikisha anarudi na shati tu, briefcase inabaki kwako
Lodge zipo za kumwaga tu ila ili usiboreke usisahau kututafuta mi na Madam B tukupe kampani
Habari ndo hiyo.Habari ndo hiyo lazima ataleta mrejesho humu tutakachomfanyia.Hahahaaa
FLOMI HOTEL ILIYOJENGWA JUU YA BOMBA LA MAFUTA. UKIKOSA HIYO NENDA KINGSWAY ALONG IRINGA ROAD. JIRANI SANA NA MSAMVU
Dah., jamaa ana dolari za kutosha[emoji12]Kumsindikiza haina shida ila ubadilishe kwanza ID yako inantisha.
Hahahaaaaaa umeona eeeh Madam BHabari ndo hiyo.
Iweje ateseke na mbu za usiku kucha ilhali warembo wa kumpepea tumejaa kibao?
Akuje bhana....sie tuta-do atakacho cute datty
Ukihitaji company ya kunywa na mengineo nitafute.
Nataka kutekeleza sera ya Evelyn Salt Wake kwa waume haki sawa kijinsia...na kidini
Zipo nyingi sana.... Nenda kibo peak. Ni nzuri ina utulivu sana
Pale bei inaanzia 45000..Kuna ile hoteli iliyokuw inataka kuvunjwa alafu wakaishindwa. Ile ndiyo habari ya mujini...
MGANGA GUEST HOUSE,Mitaa ya saba saba,inaangaliana na nyumba ya mzee mwanjisi[R.I.P]nategemea kwenda morogoro mjini mwezi June mwanzon. tafadhali naomba wenye uzoefu waniambie ni lodge/motel/hotel gani nzuri, usafi wa kutosha, yenye usalama wa kutosha, utulivu na bei kati ya sh 25,000 hadi 35,000/ per day
Hata mkiwa wa4 au watano nawamuduAisee,fursa hiyooo
usijali Madame B, niPM tuandae mpango kazi na ratibaUkihitaji company ya kunywa na mengineo nitafute.
Nataka kutekeleza sera ya Evelyn Salt Wake kwa waume haki sawa kijinsia...na kidini
Dah.,, kuna night clubs nyingi tu Moro unaweza kukesha hapo ukasave pesa yako angalau urudi na zawadi ya machungwa [emoji12]
Duuuh!ilibidi nicheki jina lako nikagundua rohombaya....hahahagaDah.,, kuna night clubs nyingi tu Moro unaweza kukesha hapo ukasave pesa yako angalau urudi na zawadi ya machungwa [emoji12]
Haina kwere mwanausijali Madame B, niPM tuandae mpango kazi na ratiba