Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,933
- 4,706
Nina ndugu yangu ambae amefariki, na imekujakugundulika siri zake nyingi alikuwa amezihifazi kwenye Email yake. Hivyo naomba msaada kwa yeyote mwenye kufahamu namna ya kugundua password kesheria ili kuwazafungua hii mail. Na hata kama kisheria ni process ndefu, basi kijinai (hackers) wasalaam!.