Msaada kwenye Smart Kitochi 4G, NCK CODE ni zipi?

Msaada kwenye Smart Kitochi 4G, NCK CODE ni zipi?

Wild fauna

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2012
Posts
461
Reaction score
189
Tafadhali wadau naombeni msaada wenu wa haraka. Nimenunua smart kitochi 4G ofisi z tigo ila baada ya kuweka line imeniambia niingize NCK CODE kwenye SIM 1na SIM 2, nauliza code hizo ni zipi?
 
Rule number 1
Hakikisha laini zote zimesoma na pia

LAINI YA TIGO IWE SIM1
Nimefanya hivyo mkuu, ila mnara wa kuonyesha laini zipo hewani sioni.inaniambia niingize hizo code kwanza
 
Wewe utakua umekosea ku align laini, hivyo hazisomi.

Angalia Shepu ya laini inavyotakiwa kua hapo kwenye kibati(lazima waweke)..

Kama waweza piga picha ikiwa very clear tuma hapa.
 
Tafadhali wadau naombeni msaada wenu wa haraka. Nimenunua smart kitochi 4G ofisi z tigo ila baada ya kuweka line imeniambia niingize NCK CODE kwenye SIM 1na SIM 2,nauliza code hizo ni zipi?
NiPM namba zako tufanye kazi
Utanipoza kidogo, malipo ni baada ya kazi
 
Umeiona hiyo meseji mkuu?
JPEG_20200603_202233_1160087710513304274.jpg
 
nauliza kama inawezekana ku unlock line one isiwe inatumia tigo tu, inawezekana?
 
Back
Top Bottom