Msaada kwenye Smart Kitochi 4G, NCK CODE ni zipi?

Msaada kwenye Smart Kitochi 4G, NCK CODE ni zipi?

Tafadhali wadau naombeni msaada wenu wa haraka. Nimenunua smart kitochi 4G ofisi z tigo ila baada ya kuweka line imeniambia niingize NCK CODE kwenye SIM 1na SIM 2, nauliza code hizo ni zipi?

Na mm pia naomba msaada nimechukua smart kitocho vodacome shop nataka kutoa nck code
Smart Kitochi
Azumi L3K
Imei 359520100032287

Unlock
 
Na mm pia naomba msaada nimechukua smart kitocho vodacome shop nataka kutoa nck code
Smart Kitochi
Azumi L3K
Imei 359520100032287

Unlock
Hicho mbona bila hata kuflash line zote zinasoma 4G ila line 1 lazima ikae voda.
Kama hutaki kabisa kutumia Voda mcheck Anonyshu akupe code but not free
 
Naomba msaada nina smart kitoch cha kampuni ya vodacom nikiweka laini ya halotel kinaomba nck code
 
Tafadhali wadau naombeni msaada wenu wa haraka. Nimenunua smart kitochi 4G ofisi z tigo ila baada ya kuweka line imeniambia niingize NCK CODE kwenye SIM 1na SIM 2, nauliza code hizo ni zipi?
Laini zinasumbua sana kusoma kwa hizo hasa pale utataka uweke size ile ndogo isio yake,Chukua vibati vya line kisha vesha na uweke hakikisha line ya tigo iwe ndio namba moja( kuna siku ) nilikosea nikabugi hio error kama yako ilinitesa baadae nikafix uzur wake haina limit ya ku attempt
 
Back
Top Bottom