inaniumiza kichwa..pamoja na figure bomba sura makin. na hera kibao bado nashindwa kupata msuchana mwenye upendo wa dhat..help me friends how could i do..
Wewe kwa nini unatuapptochi......?......wasichana hatupendi kuapptochiwa tunahisi kama utatutoboa........
Halafu soja.......wewe hao wasichana wako unawatafutia wapi........?......
inaniumiza kichwa..pamoja na figure bomba sura makin. na hera kibao bado nashindwa kupata msuchana mwenye upendo wa dhat..help me friends how could i do..
inaniumiza kichwa..pamoja na figure bomba sura makin. na hera kibao bado nashindwa kupata msuchana mwenye upendo wa dhat..help me friends how could i do..
Wewe kwa nini unatuapptochi......?......wasichana hatupendi kuapptochiwa tunahisi kama utatutoboa........
Halafu soja.......wewe hao wasichana wako unawatafutia wapi........?......
Ahsanteeee mama.... mi mwenyewe nilihisi tatizo ni huko kuapptopchi ... ajitahidi kutumia njia mbadala... hasa hizo "hera"
Kule msibani nilipita kidogo.......lakini naona mambo yamekuwa mengi sana.......nimebaki kuwa msomaji.......nipo busy kumuombea Ufoo apone......ili tujue hasa.......nini kilitokea.........