Wewe kwa nini unatuapptochi......?......wasichana hatupendi kuapptochiwa tunahisi kama utatutoboa........
Halafu soja.......wewe hao wasichana wako unawatafutia wapi........?......
inaniumiza kichwa..pamoja na figure bomba sura makin. na hera kibao bado nashindwa kupata msuchana mwenye upendo wa dhat..help me friends how could i do..
inaniumiza kichwa..pamoja na figure bomba sura makin. na hera kibao bado nashindwa kupata msuchana mwenye upendo wa dhat..help me friends how could i do..
soujer boy!!!! pamoja na hizo sifa me nahisi we mbabe,, malaya;; na hujui ku care wasichana..... au labda una hela na huna kipaji cha kuhonga?????
kama una hizo tabia acha na utapata mke.
H:smile-big::smile-big:
Mkuki tu hapo hamna kitu mwambieni bila dushee la kufa mtu hampati demu
Women always means the opposite of what they say, yes dear i do understand what meanest thoudushee mbona kigezo cha mwisho icho!!!!! l
Wewe kwa nini unatuapptochi......?......wasichana hatupendi kuapptochiwa tunahisi kama utatutoboa........
Halafu soja.......wewe hao wasichana wako unawatafutia wapi........?......