Muk
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 547
- 70
Habari wa jf
tafadhali kwa yeyote mwenye kuwezakunipamajadtliano ya mjadala wa richmond uliofanyika bungeni mjini dodoma anisaidie niweze pata, maana nauhitaji kujua uliendaje? Maana siye wengine kipindi hichi tulikuwa bado wadogo kuweza kupata nafasi ya kusikiliza yani nilikuwa darasa la 6. Nami napenda nijue ilikuwaje na ilienda vipi.
tafadhali kwa yeyote mwenye kuwezakunipamajadtliano ya mjadala wa richmond uliofanyika bungeni mjini dodoma anisaidie niweze pata, maana nauhitaji kujua uliendaje? Maana siye wengine kipindi hichi tulikuwa bado wadogo kuweza kupata nafasi ya kusikiliza yani nilikuwa darasa la 6. Nami napenda nijue ilikuwaje na ilienda vipi.