Msaada kwa wenye ujuzi wa telecommunication

Msaada kwa wenye ujuzi wa telecommunication

dimatteo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
868
Reaction score
935
Habari Wana jf,

Naombeni kuuliza wataalamu kwenye sector hii, nilikuwa nikisumbuliwa na sintofahamu kwenye mawasiliano ya simu na mwenzangu.

Ipo hivi nikiongea nae huwa nahisi sauti ya third party(mtu wa pembeni) ikiongea,nikikata nikija kumuuliza kwa text anasema yupo peke yake chumbani na yeye anakaa gorofa Kama ya nane hivi juu kabisa.

Mara nyingine tena alipiga simu yeye baada ya kuchati nae muda mrefu, ile napokea naskia sauti ya 'ME' wakati nilikuwa Nachati na 'KE' ikiniuliza maswali tofauti Mara inakata najikuta Naongea na 'KE' tena.

Sasa yeye anasema kutokana anakaa gorofani juuu Sana so inawezekana Kuna interference ya waves kwenye maongezi yetu...daaah nilijalibu kuwapigia Airtel nione watasemaje ila sikufanikiwa kupata msaada wowote.

Sasa Nduguzanguni naombeni kujua, je ni kweli Hilo tatizo la kuingiliana sauti ukiwa unaongea na mtu aliekaa gorofani juu kabisa ni Jambo la kawaida au ni janja janja tuu nafanyiwa?

Ahsanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja Waje Watu Wa TCRA ,Ingawa Udukuzi Upo Siku Hizi
 
Kama unaweza shika simu yake nenda sehemu ya call setting, call devirt au baadhi ya simu zimeandikwa call foward.

Angalia kuna option nyingi sasa wewe concetrate kwenye foward all voice calls. Utaona namba ya mtu anayewasikiliza.

Asante
 
Kama ni mpenzi wako, jiulize "MKO WANGAPI?" Mara nyingi wanaume hatupendi umbea ama kuwekeza pasipo na faida.
 
Namaanisha kuna mwanaume anamfuatilia huyo binti kuliko wewe, huenda binti anawachanganya wanaume zaid ya mmoja.
Of course yote ya wezekana ila Mimi nitaanzaje kumwambia yeye kuwa anamwanaume ili hali yeye amekataa kabisa?? Na Mimi evidence nakosa labda nifwatilie ushauri wa mdau hapo juu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Of course yote ya wezekana ila Mimi nitaanzaje kumwambia yeye kuwa anamwanaume ili hali yeye amekataa kabisa?? Na Mimi evidence nakosa labda nifwatilie ushauri wa mdau hapo juu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kamwe, narudia tena, kamwe usichukulie utetezi wa mtuhumiwa kuwa ushahidi wa kosa lake. Ni wachache sana husema ukweli.
 
Kamwe, narudia tena, kamwe usichukulie utetezi wa mtuhumiwa kuwa ushahidi wa kosa lake. Ni wachache sana husema ukweli.
Duuuh nakubali kaka, unachoweza ongea ni kweli Sasa utajithibitishiaje? Mimi nimelileta hapa nikitegemea majibu, example Angetokea mtu akanijibu hichi kitu nilichokiandika hakipo(yaaani ile sauti ya kiume niliyokuwa nikiongea nayo huyo mtu alikuwepo hapo hapo).Ningeambiwa hivi conclusion ingekuwa tayari...ila Sasa ndo hivo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama uliongea na kidume halafu akatoweka hewani ukampata mdada, jua kuna mchezo usiohitaji hasira.
 
kwa sababu umeuliza habari za Telecommunication najaribu kukujibu.
kwenye kwenye transmit of signal kuna kitu kinaitwa modulation na demodulation.
ndani yake humo unapata kitu inaitwa simplex na duplex,
simplex ni kutuma taarifa kwa one direction
duplex ni kutuma taarifa with one another in both direction.
hizo sauti za kiume yeye huwa anaziskia au unasiskia wewe tu.
hizo sauti akiwa tofauti na hilo jengo huwa unaziskia
ana simu nyingine? ukipiga kwenye hiyo simu unaziskia hizo sauti
wewe ukipiga kwa tumia namba nyingine unaziskia hizo sauti.
sauti unayoiskia ni ile ile kila siku
 
kwa sababu umeuliza habari za Telecommunication najaribu kukujibu.
kwenye kwenye transmit of signal kuna kitu kinaitwa modulation na demodulation.
ndani yake humo unapata kitu inaitwa simplex na duplex,
simplex ni kutuma taarifa kwa one direction
duplex ni kutuma taarifa with one another in both direction.
hizo sauti za kiume yeye huwa anaziskia au unasiskia wewe tu.
hizo sauti akiwa tofauti na hilo jengo huwa unaziskia
ana simu nyingine? ukipiga kwenye hiyo simu unaziskia hizo sauti
wewe ukipiga kwa tumia namba nyingine unaziskia hizo sauti.
sauti unayoiskia ni ile ile kila siku
Nisaidie na mm mkuu simu yangu niliistore saivi utube na browser na chrome haiingii lakini wasap , fb na telegram inaingia vzr tu tatizo ni nini hasa
 
Kama unaweza shika simu yake nenda sehemu ya call setting, call devirt au baadhi ya simu zimeandikwa call foward.
Angalia kuna option nyingi sasa wewe concetrate kwenye foward all voice calls. Utaona namba ya mtu anayewasikiliza.

Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
Divert option haijawahi kumfanya mtu wa tatu akasikia maongezi ya watu wawili.

Ebu tuambie, kuna divert all calls, divert when busy, divert when not reachable. Sasa kati ya hizo ni ipi inayosema call share au conference.

Ninaamini unaweza set smart phone ikawa ina record calls na kukutumia recorded voice na sio live feeds, ilo na kudukua simu ya tochi tuwaachie wenye mamlaka zao.

Vinginevyo nenda anapokaa( Unaibiwa eneo la tukio kwa kuwekewa loud speaker uskiwe na kila mtu)

In Vino Veritas (In Wine Lies the Truth)
 
kwa sababu umeuliza habari za Telecommunication najaribu kukujibu.
kwenye kwenye transmit of signal kuna kitu kinaitwa modulation na demodulation.
ndani yake humo unapata kitu inaitwa simplex na duplex,
simplex ni kutuma taarifa kwa one direction
duplex ni kutuma taarifa with one another in both direction.
hizo sauti za kiume yeye huwa anaziskia au unasiskia wewe tu.
hizo sauti akiwa tofauti na hilo jengo huwa unaziskia
ana simu nyingine? ukipiga kwenye hiyo simu unaziskia hizo sauti
wewe ukipiga kwa tumia namba nyingine unaziskia hizo sauti.
sauti unayoiskia ni ile ile kila siku
Mkuu hizo sauti naziskia Mimi tuu...(na si sauti tuu yaani Mara ya kwanza Niliongea na mtu ila sema kwakuwa nashikwa na butwaa ndo nashindwa kujibu vizuri) na Mara ya pili niliskia mtu kwa mbali anaongea na hapo gorofani anakaa mwenyewe tuu na hata ukimuuliza anakujibu hakuna mtu na vioo vimefungwa

Akiwa maeneo mengine mbali na ghorofani(maeneo ya chini), sijawahi kusikia kitu chochote either akitumia iPhone au kitochi hata Mimi nikimpigia kwa namba nyingine hajawi kupokea mtu mwingine au wakati Naongea nae nisikie sauti tofauti otherwise awe kazini(because she is a Doctor)

Note: Hizo sauti not Everytime imetokea marambili tuu! and not consecutive.Ndomana nimejiuliza kwanini nisikie sauti ya aina moja Kama interference niskie ata ya mtu mwingine au hata ya kike Basi....ila alichodai yeye eti huenda kwakuwa anakaa gorofani juu ndo imetokea hivyo



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasiwasi ndio akili,ukishaona akili yako inapata wasiwasi hasa kwa hao viumbe na ushahidi wa background voice za ME etc hapo hauna chako!!
Kweli nafsi sometimes unaongea kabisa...ila sisi binadamu ni wabishi Sana ila kiukweli haya yakitokea huwa hauamini Kama ndo yamekutokea, ila ndo hamna namna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom