Shukrani sana mkuuBila shaka wamekupa a/c number ya Standard chartered au KCB. Nenda bank hapo Mwanza lipia
Naaplply postgraduate, na vipi suala la kupeleka hardcopy za vyeti, bio-data na refereee campus kwao?, limekaaje hili?, unaweza nipa ABC kabla sijaanza safariBila shaka wamekupa a/c number ya Standard chartered au KCB. Nenda bank hapo Mwanza lipia
Utatakiwa ukafanverification ya vyeti UNEB na NCHENaaplply postgraduate,na vipi suala la kupeleka hardcopy za vyeti,bio-data na refereee campus kwao?,limekaaje hili?,unaweza nipa ABC kabla sijaanza safari
Mkuu Sasa si uingie kwenye website ya chuo?Husika na mada tajwa hapo juu,naomba msaada kwa yeyote ambaye yupo au alikuwepo Makerere University, nafanya applications hapa, malipo inakuaje (applications fee), nipo Mwanza, Tz.
Hellow samahan naomba kuuliza ulifanikiwa ili na mm unipe utaratibuHusika na mada tajwa hapo juu,naomba msaada kwa yeyote ambaye yupo au alikuwepo Makerere University, nafanya applications hapa, malipo inakuaje (applications fee), nipo Mwanza, Tz.
Vip MSc in Accounting and Finance fees yake ikoje na hostel kwa semister ni sh ngapJitahdi kufika Uganda pia ili uwe na uhakika zaidi wa kupata
Karibu na Kenya mkuu ila ujipange kipesa hasa kwa course za science
milioni 15 za kigandaVip MSc in Accounting and Finance fees yake ikoje na hostel kwa semister ni sh ngap
Mkuu na mimi natafuta admission ya PhD ya Uganda, vipi process zako ulifanikisha na vpi umeomba chuo gani na deadline mwisho lini?Naaplply postgraduate,na vipi suala la kupeleka hardcopy za vyeti,bio-data na refereee campus kwao?,limekaaje hili?,unaweza nipa ABC kabla sijaanza safari
Wako vzr jamaa. Me nlipiga CavendishMkuu mi nataka nikasome Kyambogo University mwakani,utakuwa ushakuwa mzoeafu,natumai utanipa uzoefu.