Hector Cooper
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 554
- 778
Napenda kujua kuwa katiba ya Zanzibar imeeleza vipi pale ambapo Rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) anapofariki au kupoteza uwezo wa kuongoza.
Ni kiongozi yupi atakaeshika madaraka?
Au utafanyika uchaguzi?
Naomba kujua.
Ni kiongozi yupi atakaeshika madaraka?
Au utafanyika uchaguzi?
Naomba kujua.