Toto mol
JF-Expert Member
- Oct 18, 2022
- 2,412
- 3,583
Habari wadau kwema, niende moja kwa moja kwenye mada, ipo hivi naomba kujua ni mafuta gani? Yatanifaa kwa mtu kama mimi mwenye uso wenye mafuta,
Chunusi zinanisumbua kila nikipaka mafuta usoni, basi zitatoka balaa zinavimba, nisipopaka mafuta uso unarudi vizuri tu, ila shida inakuja kwenye mdomo unapauka kweli na kutoka magamba,
Inabidi nirudi tena kupaka mdomo, napo inakuwa sawa ila chunusi inakuja na kwenye mdomo yani, mnisaidie mafuta yatakayoukubali uso, ni mimi kijana wa miaka 27 tu
Chunusi zinanisumbua kila nikipaka mafuta usoni, basi zitatoka balaa zinavimba, nisipopaka mafuta uso unarudi vizuri tu, ila shida inakuja kwenye mdomo unapauka kweli na kutoka magamba,
Inabidi nirudi tena kupaka mdomo, napo inakuwa sawa ila chunusi inakuja na kwenye mdomo yani, mnisaidie mafuta yatakayoukubali uso, ni mimi kijana wa miaka 27 tu