Msaada kwa mwenye uzoefu kupata US- Visa

KasomaJr

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
367
139
Hbari waja-Jamii Forum,

Nakuja kwenu kuomba msaada wa uzoefu kwa wale ambao tayari wamepita huko, kupata VISA ya US hususani kwa mtu anae kwenda kusoma nje (USA), Nachotaka kufahamu ni challenge kubwa huwa ni eneo gani na namna ya kukabiliana nayo. Kwangu nina issue mbili ambazo hasa nahitaji kujua waliopita huko wamefanyaje.

1. Bank Statement (my assumption ina hitajika ili ku-justify uwezo wa kufanya shule bila shida)-Je jambo hili mmeweza kuli-solve vipi hasa kwa wenzangu ambao hawakuwa na uwezo huo kuwa na kiasi cha zaidi ya $50,000 kwenye bank account?

2. Inteview set up inakuwa na mambo gani muhimu sana ambayo mtu anapaswa kujiandaa nayo?

NB: Kwangu mimi issue ni kupata VISA tu kwani mambo mengine yapo arranged kule kule US kwani nina mtu legit atakayeongoza njia za mambo mengine yote.

NAOMBENI MSAADA-ASANTENI
 
1. Bank statement
Nimesima mada nyingi sana hapa kuhusu suala la bank statement nimekuja kugundua kama huna mzunguko wa kiasi hicho cha pesa basi forge.

Ki msingi hakuna mtu anaweza thibitisha kuwa ni OG of fake. Labda amri ya mahakama, na watu wa ubalozi hawana huo muda. Ki msingi Visa ya masomo bi rahisi sana kama una documents kama admission na nyaraka nyengine.

Visa ngumu ni za kazi, kwenda moja kwa moja hasa kama huna cheti cha ndoa. kama una ndoa wanaamini utarudi tuu
 
1. Bank statement
Nimesima mada nyingi sana hapa kuhusu suala la bank statement nimekuja kugundua kama huna mzunguko wa kiasi hicho cha pesa basi forge.

Ki msingi hakuna mtu anaweza thibitisha kuwa ni OG of fake. Labda amri ya mahakama, na watu wa ubalozi hawana huo muda. Ki msingi Visa ya masomo bi rahisi sana kama una documents kama admission na nyaraka nyengine.

Visa ngumu ni za kazi, kwenda moja kwa moja hasa kama huna cheti cha ndoa. kama una ndoa wanaamini utarudi tuu
Hivi ukiwa na hio admission letter ukiwa nayo ,pale ubalozini,kazi Yao ni kuhakiki tu au ? ,Na vipi hawawezi kukunyima viza kama teari una hio adm letter ?



Admin letter ukiwa nayo, viza must utapata au inakuwaje ?
 
Back
Top Bottom