Mcheza Viduku
JF-Expert Member
- Jun 24, 2020
- 1,150
- 2,924
Mtunzi alikuwa makini kuhakikisha kazi yake haivuji, wakati mwingine wachapaji au wahariri huwa wanakuwa sio waaminifu wanaweka pembeni ili wauze huku kwenye soft copyTatizo hilo
Mtunzi alikuwa makini kuhakikisha kazi yake haivuji, wakati mwingine wachapaji au wahariri huwa wanakuwa sio waaminifu wanaweka pembeni ili wauze huku kwenye soft copyTatizo hilo
Jadu Mfaume,Dah mambo ya Hussein Issa Tuwa haya.
Ukiweka na Utata wa 9/12 inakuwa murua kabisaaaa
Haha hatari kabisaJadu Mfaume,
Brian Koba
Gezza Dilunga
Fatma Suluja
Sidney "Sidi" Masha,
Hatari tupu humu, watu wamegombana sijui sayari gani huko hawakumalizana vizuri wamekuja kiliendeleza bifu lao hapa duniani.
Tiga Mumba ni Mkimbizi, sio mdunguaji.
Shukran mkui ,uko sawa.Tiga Mumba ni Mkimbizi, sio mdunguaji.
Mdunguaji utakutana na kina Code Name Vampire,
Hii ni point muhimu sanaaMwenye hardcopy apige hata picha hizo kurasa zilizobak na sis tudambue wadau
Utaratibu wa kuvipata ukoje?Ninazo soft copy za vitabu hivyo vyote, Mkimbizi, wimbo wa gaidi,miss Tanzania,mdunguaji n.k vyote vya bingwa wa taharuki!
Wewe si mtu mzima Sheikh!!? Hujaelewa nini hapo mkuu!? Jionggeze! Dm nikufowadie free...maana ni kosa kisheria nikiweka hapa. Maana hata mimi nilivilipia japo ss hvi waliblock baada ya kutofautiana kimkataba na mwenye selling platform (web)Utaratibu wa kuvipata ukoje?