ya mufindi
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 508
- 738
Poleni na kazi nahitaji msaada kwa mwenye copy ya riwaya hii ya Mkimbizi.
Natanguliza shukrani za dhati kwenu.
Natanguliza shukrani za dhati kwenu.
Tafuta uzi ulioandikwa..DONDOSHA KITABU CHOCHOTE KWA NJIA YA PDFPoleni na kazi nahitaji msaada kwa mwenye copy ya riwaya hii ya Mkimbizi.
Natanguliza shukrani za dhati kwenu.
ipo jukwaa ganiTafuta uzi ulioandikwa..DONDOSHA KITABU CHOCHOTE KWA NJIA YA PDF
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
shkrani ngoja niutafute mkuuTafuta uzi ulioandikwa..DONDOSHA KITABU CHOCHOTE KWA NJIA YA PDF
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
angetaja jukwaa ingekuwa safi na rahisi kukipataipo jukwaa gani
Niliipata kupitia gugoangetaja jukwaa ingekuwa safi na rahisi kukipata
Kitu mdunguaji tiga mumba dada matata sanaDah mambo ya Hussein Issa Tuwa haya.
Ukiweka na Utata wa 9/12 inakuwa murua kabisaaaa
Hatari sana
Naam jaka brown madegaMtu mbadi waga maingo
Mkuu unayo inafika mwisho?Niliipata kupitia gugo
Simuliz ya mkimbizi sijapata ila niliupata uzi wa kuomba vitabu baada ya kuugugoMkuu unayo inafika mwisho?
Nipe link mkuuSimuliz ya mkimbizi sijapata ila niliupata uzi wa kuomba vitabu baada ya kuugugo
Hiki kitabu nakitafuta mwaka wa 3 softcopy sijapata. Ukipata sehemu naomba nitonye.Mkuu unayo inafika mwisho?
Ulinunua wapi hivi vitabu wanasema copy zake ziliisha madukani havipo tenaNiliona isiwe tabu nikatafuta kitabu kabisa vyote 30k tu View attachment 2741232View attachment 2741234
Vipo vingi sana maeneo y baridi mnazi mmoja na mbezi stand ya mabasiUlinunua wapi hivi vitabu wanasema copy zake ziliisha madukani havipo tena
Kinondoni studio kama unahitaji nikupatie namba za uyo dadaUlinunua wapi hivi vitabu wanasema copy zake ziliisha madukani havipo tena
Nipatie namba zake mkuu siku nikijichanga nikanunueKinondoni studio kama unahitaji nikupatie namba za uyo dada