isack raphael
Senior Member
- Oct 26, 2013
- 139
- 30
Habari..
Naomba ushauri, nifanyeje ili kiingereza nikizoee na kukitumia kama navyokitumia kiswahili (naweza cha kuombea maji)
Naomba ushauri, nifanyeje ili kiingereza nikizoee na kukitumia kama navyokitumia kiswahili (naweza cha kuombea maji)