Msaada kwa anayemjua vizuri Shetani

Msaada kwa anayemjua vizuri Shetani

Threesixteen Himself

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
8,349
Reaction score
8,081
habari wadau!
kwa muda wa takribani miaka 28 nimekuwa najifunza kuhusu Mungu huyu muumba wa vitu vyote. Na nimekuwa najifunza pia uwepo jba uwezo wa bwana Shetani.
Ili kumwelewa zaidi Mungu nadhani ni muhimu kumuelewa shetani pia. Yoyote mwenye taarifa zitakazonisaidia kumjua shetani anisaidie.
 
Unauliza kushoto wanakujibu kulia...
Hii ndo jf

Shetani au Lusifa alikaa mbinguni kipindi cha nyuma akiwa kama kiongozi wa sifa lakini baada ya Muda flani alitaka kuwa mkuu zaidi Mungu.

Ndipo Mungu akachukua Uamuzi wa kumtupa Duniani ndipo jamaa likaweka makazi yake duniani
 
Shetani nilisoma nae shule ya msingi songea,alikua anakua wa mwisho darasani.
Baadae alihamia mbamba bay,nasikia alikua anakua wa kwanza huko

kwa sasa sijui yuko wapi,mara nasikia watu wanasema anaishi makaburini,mara baharini,mara mbinguni,sijui kwa kweli yuko wapi ila ni mtu mzuri sana.
 
Benjonathantz,

!
!
sasa mkuu ahsante kwa taarifa yako. Ila pia kuna mahala imeandikwa dunia ilikuwa tupu na kiwa....alitupwa kabla au baada ya uumbwaji?...kuna mstari unasema dunia ilikuwa kiwa na tupu
 
Hivi shetani yupo mmoja nae?unataka kumfaham Mungu ambaye tunaamini ni mmoja,unataka kumjua shetani pia ambaye kazi yake tunaaminishwa ni mbaya tu.Kila kibaya kinachotokea maishani mwetu huwa tunasema ni kazi ya shetani,hasa kwa wanaoamini katika dini.Kuna watu pia wanamwabudu shetani kama mungu wao,na miungu shetani wapo wa aina nyingi nadhani.
 
Shetani nilisoma nae shule ya msingi songea,alikua anakua wa mwisho darasani.
Baadae alihamia mbamba bay,nasikia alikua anakua wa kwanza huko

kwa sasa sijui yuko wapi,mara nasikia watu wanasema anaishi makaburini,mara baharini,mara mbinguni,sijui kwa kweli yuko wapi ila ni mtu mzuri sana.

!
!
ahsanta
 
Shetani baada ya kufukuzwa mbinguni alimuahidi Mungu kama atawapotosha na kuwapoteza wote wale waja wema ili wawe waovu kwa Mungu kama yeye.🐚
 
Hivi shetani yupo mmoja nae?unataka kumfaham Mungu ambaye tunaamini ni mmoja,unataka kumjua shetani pia ambaye kazi yake tunaaminishwa ni mbaya tu.Kila kibaya kinachotokea maishani mwetu huwa tunasema ni kazi ya shetani,hasa kwa wanaoamini katika dini.Kuna watu pia wanamwabudu shetani kama mungu wao,na miungu shetani wapo wa aina nyingi nadhani.

!
!
yeah!ningependa pia kujua kama yuko mmoja au nae ana shazi lake
 
Back
Top Bottom