Msaada kwa anayejua mambo haya ya course za chuo

PATIENCE PB

Senior Member
Apr 3, 2014
163
37
Mimi ni mwanafunzi niliyemaliza kidato cha 6 (ECA) ,na nategemea kwenda chuo kusomea ualimu wa economics...kama Mungu atajalia matokeo yakatoka vizuri. pia chuo ninachopenda ni UDSM ....vp ni faculty gani nisome? na sio kwamba nataka kusoma education pure. Mungu akijalia nisome tena M.A. Economics.....je inawezekana??
msaada wenu kwa wanaofahamu haya mambo
 
Kasome BSE ,Bachelor of science with education ,,, economic ipo marketable zaid mashulen ajira nje nje
 
acha uvivu
Tafuta TCU guide book na Prospectus ya vyuo vinavyotoa hiyo course
Utapata mengi zaid ya utakayoambiwa hapa
acha uvivu
Tafuta TCU guide book na Prospectus ya vyuo vinavyotoa hiyo course
Utapata mengi zaid ya utakayoambiwa hapa

Huko kote nshaangalia ila hamna nilichoelewa ndo maana nikaamua kuuliza........ hasa hizi course za education haziko direct ...kwa sababu ukifika huko chuo ndo unachagua vipindi utakavyosomea
 
Huko kote nshaangalia ila hamna nilichoelewa ndo maana nikaamua kuuliza........ hasa hizi course za education haziko direct ...kwa sababu ukifika huko chuo ndo unachagua vipindi utakavyosomea
Mkuu we subiri matokeo
Vyuo vinatofautiana sifa za kudahili wanafunz
Mfno udsm huchukua kuanzia cut off point 11 zikishuka sana ni 9

So kutamani ni kitu kimoja, sifa ni kitu kingine

We omba tokeo likae Sawa utakwenda tuu udsm ila kuna vyuo vingine pia vingine tu si lazima udsm
 
Kama unataka UDSM unaweza kuomba
College of Social Sciences (CoSS) Mlimani Campus:

Students taking BAEd are required to take two Teaching Subjects (content) offered by the College of Social
Sciences and Education courses offered by the School of Education. A student will be guided by the College
to pick two teaching subjects - Teaching Subject #1 and Teaching Subject #2. Possible BAED combinations
are:
(i) Geography and Economics
(ii) Economics and Political Science and Public Administration
(iii)Economics and History

Faculty of Humanities and Social Science: Mkwawa University College of Education

Teaching subjects will be selected from the following:
(i) Economics and Commerce
(ii) Linguistics and Foreign Languages
(iii) Geography
(iv) History
(v) Kiswahili
(vi) Literature
(vii) Political Science and Public Administration

Dar es salaam University College of Education: DUCE Faculty of Social Sciences
The units which offer courses to BA (Education) students are:
(i) Economics,
(ii) Foreign Languages and Linguistics,
(iii) Geography,
(iv) History,
(v) Literature,
(vi) Political Science and Public Administration,
(vii) Kiswahili.


Ushindani wa mlimani ni mkubwa zaidi. Mkwawa wanatoa Economics and Commerce. Jaribu pia kuangalia Mzumbe University (prospectus).
 
Mimi ni mwanafunzi niliyemaliza kidato cha 6 (ECA) ,na nategemea kwenda chuo kusomea ualimu wa economics...kama Mungu atajalia matokeo yakatoka vizuri. pia chuo ninachopenda ni UDSM ....vp ni faculty gani nisome? na sio kwamba nataka kusoma education pure. Mungu akijalia nisome tena M.A. Economics.....je inawezekana??
msaada wenu kwa wanaofahamu haya mambo

Ualimu ni mmoja ila tofauti inakuja tu kwenye kuchagua masomo ya kufundishia kama econ, geog, maths, hist etc ila pia kozi nyingi nzuri za ualimu zinapatikana udom

Kuna fani nyingi za ualimu ila naamini kuna hizi 2 nzuri sana na ukisoma hutakuja jutia
Bach of education in guidance and counseling hii ni nzuri maana siku hizi kuna uhitaji wa ma counselor sana mashuleni hasa private isitoshe wewe una kuwa counselor bado una uwezo wa kufundisha masomo mawili hivyo hii course itakusaidia sana kupata ajira hasa ktk shule za private maana tunapoelekea ajira za serikali zimeshajaa hasa kwa masomo yako

Kuna Bach of education in psychology hii inafanana na hiyo ya kwanza ila guidance and counseling ni tawi lake hivyo application zake haziachani sana

Pia kuna Bach of education in commerce hii unaweza kuwa Mwl na mhasibu hizi zinapatikana chuo cha udom zipo na nyingine nyingi angalia Tcu G. Book
 
Mkuu we subiri matokeo
Vyuo vinatofautiana sifa za kudahili wanafunz
Mfno udsm huchukua kuanzia cut off point 11 zikishuka sana ni 9

So kutamani ni kitu kimoja, sifa ni kitu kingine

We omba tokeo likae Sawa utakwenda tuu udsm ila kuna vyuo vingine pia vingine tu si lazima udsm
Mkuu we subiri matokeo
Vyuo vinatofautiana sifa za kudahili wanafunz
Mfno udsm huchukua kuanzia cut off point 11 zikishuka sana ni 9

So kutamani ni kitu kimoja, sifa ni kitu kingine

We omba tokeo likae Sawa utakwenda tuu udsm ila kuna vyuo vingine pia vingine tu si lazima udsm
icho ndo tunachokiomba mkuu.....tufaulu vizuri....asante
 
Kama unataka UDSM unaweza kuomba
College of Social Sciences (CoSS) Mlimani Campus:

Students taking BAEd are required to take two Teaching Subjects (content) offered by the College of Social
Sciences and Education courses offered by the School of Education. A student will be guided by the College
to pick two teaching subjects - Teaching Subject #1 and Teaching Subject #2. Possible BAED combinations
are:
(i) Geography and Economics
(ii) Economics and Political Science and Public Administration
(iii)Economics and History

Faculty of Humanities and Social Science: Mkwawa University College of Education

Teaching subjects will be selected from the following:
(i) Economics and Commerce
(ii) Linguistics and Foreign Languages
(iii) Geography
(iv) History
(v) Kiswahili
(vi) Literature
(vii) Political Science and Public Administration

Dar es salaam University College of Education: DUCE Faculty of Social Sciences
The units which offer courses to BA (Education) students are:
(i) Economics,
(ii) Foreign Languages and Linguistics,
(iii) Geography,
(iv) History,
(v) Literature,
(vi) Political Science and Public Administration,
(vii) Kiswahili.


Ushindani wa mlimani ni mkubwa zaidi. Mkwawa wanatoa Economics and Commerce. Jaribu pia kuangalia Mzumbe University (prospectus).

Asante sana mkuu hiki ndicho nilikuwa nakitafuta siku nyingi......sasa Mimi niliyesoma ECA watakubali nisome hiyo ya mlimani....econ.&political science &public administration....coz nahofia kwa sababu sina history.....nielekeze na hapo tafadhali
 
Ualimu ni mmoja ila tofauti inakuja tu kwenye kuchagua masomo ya kufundishia kama econ, geog, maths, hist etc ila pia kozi nyingi nzuri za ualimu zinapatikana udom

Kuna fani nyingi za ualimu ila naamini kuna hizi 2 nzuri sana na ukisoma hutakuja jutia
Bach of education in guidance and counseling hii ni nzuri maana siku hizi kuna uhitaji wa ma counselor sana mashuleni hasa private isitoshe wewe una kuwa counselor bado una uwezo wa kufundisha masomo mawili hivyo hii course itakusaidia sana kupata ajira hasa ktk shule za private maana tunapoelekea ajira za serikali zimeshajaa hasa kwa masomo yako

Kuna Bach of education in psychology hii inafanana na hiyo ya kwanza ila guidance and counseling ni tawi lake hivyo application zake haziachani sana

Pia kuna Bach of education in commerce hii unaweza kuwa Mwl na mhasibu hizi zinapatikana chuo cha udom zipo na nyingine nyingi angalia Tcu G. Book
asante sana kwa ushauri....ila mimi kama nilivyosema nahitaji kuwa mwalimu wa econ. kwanza afu nisome master ya uchumi tu.....kwa ufupi lengo langu nahitaji kuwa an economist ila napitia kwenye ualimu kama stepping stone tu.....then hiyo BEDCom(bachelor of edu in commerce) naifahamu ila nikisoma hyo sitaweza kuchukua master ya economics ndo maana nikawa nasema nataka nisome ualimu wa economics ili niwe na basic nzuri ya uchumi
 
asante sana kwa ushauri....ila mimi kama nilivyosema nahitaji kuwa mwalimu wa econ. kwanza afu nisome master ya uchumi tu.....kwa ufupi lengo langu nahitaji kuwa an economist ila napitia kwenye ualimu kama stepping stone tu.....then hiyo BEDCom(bachelor of edu in commerce) naifahamu ila nikisoma hyo sitaweza kuchukua master ya economics ndo maana nikawa nasema nataka nisome ualimu wa economics ili niwe na basic nzuri ya uchumi

Ok vizuri ila hiyo Masters ya economics unategemea kuifanyia application wapi??
 
Asante sana mkuu hiki ndicho nilikuwa nakitafuta siku nyingi......sasa Mimi niliyesoma ECA watakubali nisome hiyo ya mlimani....econ.&political science &public administration....coz nahofia kwa sababu sina history.....nielekeze na hapo tafadhali

Itabidi ucheck kupitia kiatabu cha TCU watakachotoa au cha mwaka wa jana. Nimeona ni wachache sana wa ECA waliochukuliwa Mlimani, DUCE na MUCE (2015/16 admission) bahati mbaya hawaonyeshi waliopangiwa Economics na masomo mengine ni wakina nani-lakini naamini kuwa unaweza kuchukuwa Economics na Political science. Wanahitaji uwe na ufaulu kwenye two teaching subjects-hivyo Economics ni moja na la pili iwe political science kwa sababu hakuna somo hilo A-level huanzia chuo na BA in Political science wanasema two principal passess in arts subject. Unaweza pia ukawaandikia ili kuwa na uhakika zaidi. Kuna ushindani mkubwa kwenye hivi vyuo.
 
Itabidi ucheck kupitia kiatabu cha TCU watakachotoa au cha mwaka wa jana. Nimeona ni wachache sana wa ECA waliochukuliwa Mlimani, DUCE na MUCE (2015/16 admission) bahati mbaya hawaonyeshi waliopangiwa Economics na masomo mengine ni wakina nani-lakini naamini kuwa unaweza kuchukuwa Economics na Political science. Wanahitaji uwe na ufaulu kwenye two teaching subjects-hivyo Economics ni moja na la pili iwe political science kwa sababu hakuna somo hilo A-level huanzia chuo na BA in Political science wanasema two principal passess in arts subject. Unaweza pia ukawaandikia ili kuwa na uhakika zaidi. Kuna ushindani mkubwa kwenye hivi vyuo.
Two principal passes in art subjects......!!! nami art subject ninayosoma kwenye ECA ni economics tu.......sasa si wanaweza wasinichukue...au?
 
Two principal passes in art subjects......!!! nami art subject ninayosoma kwenye ECA ni economics tu.......sasa si wanaweza wasinichukue...au?
Ndio maana nasema itabidi wewe ufuatilie-tafuta contact zao na wapigie. Kwa sababu kuna wachache wa ECA-I suspect watakuchukua lakini ni vizuri kucheck nao kwani wanakupa nafasi 5 tu za uchaguzi. Kama uko karibu basi watembelee UDSM main campus. Inawezekana wameandika lakini hawajafikiria yote yanayoweza kutokea. Usikate tamaa.
 
Back
Top Bottom