EveningStar
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 262
- 162
Habari zenu wakuu,
Mimi ni kijana wa kiume (30), hivi karibuni nimepangiwa kazi Arusha maeneo ya Namanga, ila mimi ni mgeni sijawahi kufika Arusha kabla na ukizingatia nitaishi huko, hivyo naomba kwa wenyeji wa huko wanifahamishe kuhusu upatikanaji wa vyumba na gharama zake na hali ya usalama.
Mawasiliano zaidi PM.
Ahsanteni!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kijana wa kiume (30), hivi karibuni nimepangiwa kazi Arusha maeneo ya Namanga, ila mimi ni mgeni sijawahi kufika Arusha kabla na ukizingatia nitaishi huko, hivyo naomba kwa wenyeji wa huko wanifahamishe kuhusu upatikanaji wa vyumba na gharama zake na hali ya usalama.
Mawasiliano zaidi PM.
Ahsanteni!
Sent using Jamii Forums mobile app