jblus
Member
- Nov 27, 2024
- 22
- 57
Habari wana JF
Kuna mdogo wangu anaingia kidato cha Tano, kapangiwa shule inaitwa ZANZULI SECONDARY ipo SHINYANGA.
Cha ajabu ni kwamba Joining instruction form ya shule hii haipatikani kabisa kwenye tovuti ya tamisemi. Na hata nikiingia google siipati kabisa, nakutana na shule inaitwa ZUNZULI ambayo ni OLevel (badala ya ZANZULI).
Naomba msaada kwa mtu anaeifaham shule hii kujua ipo shinyanga wilaya gani na mawasiliano kama anayo.
Shukrani
Kuna mdogo wangu anaingia kidato cha Tano, kapangiwa shule inaitwa ZANZULI SECONDARY ipo SHINYANGA.
Cha ajabu ni kwamba Joining instruction form ya shule hii haipatikani kabisa kwenye tovuti ya tamisemi. Na hata nikiingia google siipati kabisa, nakutana na shule inaitwa ZUNZULI ambayo ni OLevel (badala ya ZANZULI).
Naomba msaada kwa mtu anaeifaham shule hii kujua ipo shinyanga wilaya gani na mawasiliano kama anayo.
Shukrani