Msaada kwa aliyewahi kutumia haya mafuta

Nyangwada

Senior Member
Sep 21, 2017
143
183
upload_2017-10-23_12-27-52.jpeg
upload_2017-10-23_12-29-43.jpeg


Naomba msaada kwa aliyewahi kutumia haya mafuta, mimi ni mweusi tii, na ngozi yangu ni kavu nimejaribu kutumia aina mbalimbali ya mafuta lakini yamekua yakinikataa. Kuna mtu kanishauri nitumie hayo mnayoyaona pichani ( Rinju body butter cream). Je kutokana na ngozi yangu yatanifaa?
 
kwa kua una ngozi kavu na hiyo ni Cocoa Butter basi haujatoka nje ya key..... Tumia tu Bro.
 
Back
Top Bottom