MSAADA: Kuwafikia wateja wengi kwa njia ya sms

MSAADA: Kuwafikia wateja wengi kwa njia ya sms

Ayos

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2014
Posts
1,028
Reaction score
2,579
Wakuu kwema?
Nilikua naomba mwenye kujua njia ya kuwatumia wateja wanao nizunguka sms hata bila ya kuwa na namba zao wote.

Yani wateja walio karibu na biashara yangu tu ndio wapate meseji ya huduma nnazotoa.

Asante, nasubiri mchango wenu
 
Wakuu kwema?
Nilikua naomba mwenye kujua njia ya kuwatumia wateja wanao nizunguka sms hata bila ya kuwa na namba zao wote.

Yani wateja walio karibu na biashara yangu tu ndio wapate meseji ya huduma nnazotoa.

Asante, nasubiri mchango wenu
Wasiliana na mitandao ya simu wakuunge kwenye bulk msg
 
Karibu mchango wenu ni wa muhimu
 
Wakuu kwema?
Nilikua naomba mwenye kujua njia ya kuwatumia wateja wanao nizunguka sms hata bila ya kuwa na namba zao wote.

Yani wateja walio karibu na biashara yangu tu ndio wapate meseji ya huduma nnazotoa.

Asante, nasubiri mchango wenu
Kuna huduma inaitwa Bulk sms, naona tigo /Yas wanatoa hiyo huduma.

Kama upo Dar nenda mjini Kariakoo Mtaa wa Livingstone na Msimbazi jengo la KFC Kuna kampuni inaitwa Web technologies wanayo hio huduma
 
Wakuu kwema?
Nilikua naomba mwenye kujua njia ya kuwatumia wateja wanao nizunguka sms hata bila ya kuwa na namba zao wote.

Yani wateja walio karibu na biashara yangu tu ndio wapate meseji ya huduma nnazotoa.

Asante, nasubiri mchango wenu
Inaitwa Location based SMS Services. Ni ghali kiasi na ina mikikimikiki mingi- ila ipo hapa Tanzania kwa makampuni yote ya simu
 
Wasiliana na mitandao ya simu wakuunge kwenye bulk msg
Asante! Hiyo bulk sms nilisoma mtandaoni nikaona wanataka mtu kuupload namba unazotaka kuzitumia sms, ila mimi sina namba zao.
 
Inaitwa Location based SMS Services. Ni ghali kiasi na ina mikikimikiki mingi- ila ipo hapa Tanzania kwa makampuni yote ya simu
Asante, ngoja nitafute namna ya kuwasiliana nao.
 
Wakuu kwema?
Nilikua naomba mwenye kujua njia ya kuwatumia wateja wanao nizunguka sms hata bila ya kuwa na namba zao wote.

Yani wateja walio karibu na biashara yangu tu ndio wapate meseji ya huduma nnazotoa.

Asante, nasubiri mchango wenu
Kwa huduma ya bulk sms nicheki Whatsapp: 0747642122
 
Back
Top Bottom