Msaada kutoka kwa wanaojua

Msaada kutoka kwa wanaojua

Hahahaa jf aisee,ukakaa kabisa kutunga stori ndefu hivi we babu wee...
 
Wakati naanza kusoma nilijua ni kisa cha huyo best yako, lakini jinsi nilivyokuwa naendelea kusoma na kumaliza naona kama filamu
Its Just Like Me!! Naona Hata Filamu Aifai!! Nadhan Ni Kma Hadithi Za Sani.
 
Kama ana pata utamu waje hata kijiji kizima kudadeki
 
Mzee kweli we Mzee wa kisasa unajua hadi game eti unasema akapiga game.....Anyway kwani huyo rafiki yako yeye ana maamuzi gani kwa hilo alilokutana nalo?
 
nani kakuambia we mzee ana wazimu huyo
 
kwanza samahan kwa swala la umri humu ndani mi ndo mkubwa kwa wote then hiyo hadithi yako inatufundisha nn?
 
Wakati naanza kusoma nilijua ni kisa cha huyo best yako, lakini jinsi nilivyokuwa naendelea kusoma na kumaliza naona kama filamu

Ni kisa halisi ndugu yangu. Sijawahi kusikia hadi nimefika umri huu hii ni mara ya kwanza. Siy hadithi wala siyo filamu.
 
Nimesema kuishi kwingi siyo kujua yote. Hay amambo ni mageni hata kwangu na ubabu wangu wote huu. Nimeomba msaasa kwa wanaojua na maswali nimeyaweka bayana. Sasa ninyi vijana ambao bado mna michakato, bila shaka mtajifunza mengi kuliko hata mimi ninayetaka kufahamu na kumshauri jamaa.

Tuendelee kupata michango. Ki uhalisia ni habari inayotisha. Au ninvyi wenzangu mnaiona ni ya kawaida?

Na kwa nyongeza mimi ndiye mzee kuliko wote hapta JF. Katika wazee wenzangu sijawahi kusikia hata kama wanajua kuna hiki kijiwe kinachoitwa JF. Wewe usishangae ukiwa kama mjukuu kwangu.

kwanza samahan kwa swala la umri humu ndani mi ndo mkubwa kwa wote then hiyo hadithi yako inatufundisha nn?[/QUOTE
 
Back
Top Bottom