- Thread starter
- #41
Mzee kweli we Mzee wa kisasa unajua hadi game eti unasema akapiga game.....Anyway kwani huyo rafiki yako yeye ana maamuzi gani kwa hilo alilokutana nalo?
Hayo mambo ya game, sisi tulikuwa na majina yake zamani. Sasa hapa ninyi naona mnaita game, nami ninaona niseme lugha yenu ili muelewe ninasemaje.
Huyo kijana wangu yeye anatafuta msichana wa rangi yetu. Sasa anaambiwa ndiyo taratibu ya Africa. Ninamuwliza hao waafrika wa wapi? Anasema Namibia.
Maamuzi yake yanategemea ushauri nitakaompa na aangalie kama anaweza kubadilika maisha yake yote kufuata huo uafirika wa hilo genge.
Je haya mambo kweli yako Africa na Namibia? Ni mambo yako hapa duniani ama amekutana na syndicate la wachawi wakuu?