D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,728
- 4,174
Wakuu.
Natumai mu wazima wa afya.
Niko serious na jambo hili nahitaji kujua kuhusu fursa zilizopo kule nimeamua kutake risk sihitaji ushauri wa kuniambia fursa zipo hapahapa bongo please NIMEAMUA KU TAKE RISK
---------------------------------------
Ninahitaji kwenda Qatar
Nahitaji kujua kuhusu nauli na utaratibu pia gharama ya viza
Nisingependa kuweka mawasiliano hapa kwa yeyote ambaye yupo tayari naomba anisaidie.KWa MAWASILIANO ZAIDI NAOMBA UNIPM
Naamini sitomwangusha.
Ntaleta mrejesho
Natumai mu wazima wa afya.
Niko serious na jambo hili nahitaji kujua kuhusu fursa zilizopo kule nimeamua kutake risk sihitaji ushauri wa kuniambia fursa zipo hapahapa bongo please NIMEAMUA KU TAKE RISK
---------------------------------------
Ninahitaji kwenda Qatar
Nahitaji kujua kuhusu nauli na utaratibu pia gharama ya viza
Nisingependa kuweka mawasiliano hapa kwa yeyote ambaye yupo tayari naomba anisaidie.KWa MAWASILIANO ZAIDI NAOMBA UNIPM
Naamini sitomwangusha.
Ntaleta mrejesho