Prince_mandela
Senior Member
- Jul 29, 2016
- 167
- 117
Kinauzwa bei gan hiki mkuu na je ni kwa flat yoyote au inachaguani cable za kuunganisha tv na simu ili utumie simu kama deki kila kinachoonekana kwenye simu unakiona kwenye tv ipo kama hivi
Kinauzwa bei gan hiki mkuu na je ni kwa flat yoyote au inachaguani cable za kuunganisha tv na simu ili utumie simu kama deki kila kinachoonekana kwenye simu unakiona kwenye tv ipo kama hivi
kkoo 15,000 wa kichina, ila ni 5pin kuna pin 11 na 30 pia itategemea na kifaa na pia unaingia display yoyote ya hdmi iwe tv, projector, monitor etc tatizo la compability ni simu na sio tvKinauzwa bei gan hiki mkuu na je ni kwa flat yoyote au inachagua
Gharama yake mkuu ngapi? Thanks!Mimi natumia note 3 yenyewe inayo miracast kwa vile tv yangu haina hii kitu nikaona ninunue kifaa kinaitwa mirascreen.niliagiza online ebay.View attachment 461250 hii ndiyo mirascreen.View attachment 461251 hapa nishachomeka kwa tv yangu nikisubiri simu itafute.View attachment 461252hapa simu ikifanya mawasiliano na tv yangu(connecting)View attachment 461253tayari ishajiconnect na nipo nataka kucheza gemu .View attachment 461254
nimejaribu yangu imeletamira vissionKwenye cm yako
Nenda settn^^
Disply^^
Mirrow cast
Upande wa cm unakuwa umemaliza unaenda kwenye tv
Manu^^
Network^^
Pair dvses^^
Uttaona jina la cm yako. Kwenye cm yako itataka ukubali kupair na tv. Then unatiririka kwa chochote unachofanya kwenye cm tv inadislay bila cable wala nn"
Umenifurahisha sna eti cm ndo deki! Tehe teh...cm ni smart na kama tv ni smart huna haja ya mawaya.
Na unaweza washa hotsport kwenye cm yako ukaendelea kustrimika kwenye tv, remote ndo mause! (Kipanya)
Vipo vya bei tofauti tofauti mkuu ila kuanzia $15 na kuendelea inategemeana na mahitaji yako. Ukiwa wataka nunua tafuta kile kitachokizi mahitaji yako. Changu kama sikosei nilinunua $25 hiviGharama yake mkuu ngapi? Thanks!
Pamoja mkuuuPoa poa thanks mkuu
Hata tv ikiwa ya kichina ili mradi liwepo tundu la hdmi na usb port cha muhimu simu yako tu ndio ina huo uwezo wa kusomai
nimejaribu yangu imeletamira vission
by the way leonimejifunda yjambo jf super sana aisee
by the way ni tv zote maana tv na cm zangu zote ni za kichina
Mkuu nipe mautundu. Kwenye ka samsung j1.Hata tv ikiwa ya kichina ili mradi liwepo tundu la hdmi na usb port cha muhimu simu yako tu ndio ina huo uwezo wa kusoma
Ji sidhani kama ina hii program mkuuMkuu nipe mautundu. Kwenye ka samsung j1.
What about S7 mkuuKwanza screen yako inabidi iwe smart kwa maana ina option za miracast or screen share simu yako nayo iwe na NFC au screen mirroring hapo uta connect wirelessly km sio hivyo simu yako iwe na option ya MHL hapo utatumia MHL cable to HDMI simu km samsung s5 ina HDMI to tv nyingine km note 4 ina option ya HDMI moja so unahitaji cable km hii
Iko okWhat about S7 mkuu