most of time simu za kichina hazikubali MHL nenda website yao utaonalist ya simu zinazokubaliHabari zenu wakuu!!
Kama kichwa cha habari kinavyosema naombeni msaada wa kuonganisha tecno c9 na smart tv kwa kutumia MHL cable, me nimejaribu kila lakini inagoma kwa anayejua nifanye nini msaada plz!
most of time simu za kichina hazikubali MHL nenda website yao utaonalist ya simu zinazokubali
duu unahamu ya kuunguza simu na tvHabari zenu wakuu!!
Kama kichwa cha habari kinavyosema naombeni msaada wa kuonganisha tecno c9 na smart tv kwa kutumia MHL cable, me nimejaribu kila lakini inagoma kwa anayejua nifanye nini msaada plz!
ni cable za kuunganisha tv na simu ili utumie simu kama deki kila kinachoonekana kwenye simu unakiona kwenye tv ipo kama hiviSorry chief mkwawa MHL ni kitu gani mkuu.
mkuu hayo "mawaya" bado yanahitajika, unapostream kitu cha high quality huwezi tumia technology za wireless bila kunata nataKwenye cm yako
Nenda settn^^
Disply^^
Mirrow cast
Upande wa cm unakuwa umemaliza unaenda kwenye tv
Manu^^
Network^^
Pair dvses^^
Uttaona jina la cm yako. Kwenye cm yako itataka ukubali kupair na tv. Then unatiririka kwa chochote unachofanya kwenye cm tv inadislay bila cable wala nn"
Umenifurahisha sna eti cm ndo deki! Tehe teh...cm ni smart na kama tv ni smart huna haja ya mawaya.
Na unaweza washa hotsport kwenye cm yako ukaendelea kustrimika kwenye tv, remote ndo mause! (Kipanya)
ni cable za kuunganisha tv na simu ili utumie simu kama deki kila kinachoonekana kwenye simu unakiona kwenye tv ipo kama hivi
![]()
Kwenye cm yako
Nenda settn^^
Disply^^
Mirrow cast
Upande wa cm unakuwa umemaliza unaenda kwenye tv
Manu^^
Network^^
Pair dvses^^
Uttaona jina la cm yako. Kwenye cm yako itataka ukubali kupair na tv. Then unatiririka kwa chochote unachofanya kwenye cm tv inadislay bila cable wala nn"
Umenifurahisha sna eti cm ndo deki! Tehe teh...cm ni smart na kama tv ni smart huna haja ya mawaya.
Na unaweza washa hotsport kwenye cm yako ukaendelea kustrimika kwenye tv, remote ndo mause! (Kipanya)
Vipi kama tv siyo smart bali ni hizi flat za kawaida halafu nataka niunganishe simu na hiyo tv,inakuwaje hapo?Kwenye cm yako
Nenda settn^^
Disply^^
Mirrow cast
Upande wa cm unakuwa umemaliza unaenda kwenye tv
Manu^^
Network^^
Pair dvses^^
Uttaona jina la cm yako. Kwenye cm yako itataka ukubali kupair na tv. Then unatiririka kwa chochote unachofanya kwenye cm tv inadislay bila cable wala nn"
Umenifurahisha sna eti cm ndo deki! Tehe teh...cm ni smart na kama tv ni smart huna haja ya mawaya.
Na unaweza washa hotsport kwenye cm yako ukaendelea kustrimika kwenye tv, remote ndo mause! (Kipanya)
huwezi tumia bluetooth kustream kwenye tv ina bandwidth ndogo sana, hio audio yenyewe bluetooth haistream flac sembuse video?Du bado mnatumia cable hadi Leo kwanini usitumie Bluetooth connect ya simu n smart tv ni more easy
huwezi tumia bluetooth kustream kwenye tv ina bandwidth ndogo sana, hio audio yenyewe bluetooth haistream flac sembuse video?
haiwezekani mkuu, technology haidanganyi, hakuna bluetooth yoyote duniani inayoweza kustream hdtv, hio wifi yenyewe inapata shida.Basi mie natumia Kama kawaida hapa kwangu videos Au YouTube nk mambo za cable nilishasahau ! Hapo inategemea aina ya simu n tv yako inauwezo gani
Tecno c9 haina miracastMkuu iyo mirrow cast sijaiona!!!
Kwanza screen yako inabidi iwe smart kwa maana ina option za miracast or screen share simu yako nayo iwe na NFC au screen mirroring hapo uta connect wirelessly km sio hivyo simu yako iwe na option ya MHL hapo utatumia MHL cable to HDMI simu km samsung s5 ina HDMI to tv nyingine km note 4 ina option ya HDMI moja so unahitaji cable km hiiNimejaribu nimeshindwa aisee nipe maujanja plz!