BPM
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,760
- 573
wanajamvi
nimekutana na mkasa huu nikaombwa ushauri nikaona nililete jamvini kupata mawazo zaidi..
Jamaa analalamika kuhusu mabadiliko ya tabia ya mkewe hasa makundi na ulevi . wameishi kwa kipindi cha miaka miwili tangu waoane ndoa ya kimila, mwanzo walikuwa na maelewano mazuri na hata mambo mengi walikuwa wanashirikiana katika kufanya na kuamua..
kama miezi 6 iliyopita jamaa alipata matatizo kazini yakapelekea yeye kuamua kuacha kazi ili kujinusuru na maswaiba mengineyo.. sasa mke amekuwa na makundi ya kike na kiume na kila mtu anasema n mfayakazi mwenzake , sometime anamwita jamaa awajoin kwenye kinywaji (pombe) but inakuwa in last minute.
Mke anaweza kukaa kwenye ulevi hadi saa sita usiku au nane usiku ndo anarudi nyumbani.
jamaa mwanzo alikuwa anapenda kumuuliza labda alipo anaishia kuambia yupo point A kumbe hayupo au akaambia niko njiani nakuja kuanzia saa 4 hadi 7 usiku ndo anaingia .. kwa sasa hawana maelewano mazuri ndani ya nyumba kwani jamaa ameshakuta msg hata za mapenzi kwenye simu ya mkewe na mkewe akashindwa kumshawishi jamaa na jamaa anaamua kukaa kimya maana alishawahi kutoa vipigo ila anaona kama dharau inazidi..
Ksasa hawaongei ni kama week ya tatu, mke anaweza kutoka hata kuaga hakuna na hata akirudi sometime hamsalimii jamaa na jamaa ameamua kusitisha hata huduma ya chakula cha usiku ..
Jamaa anafikiria kuachana nae ila anaumia kwani wana mtoto mchanga ana miezi 5 na mke alimwachisha ziwa mtoto akiwa na miezi 2..
Wana jamvi hili mwalionaje??
nimekutana na mkasa huu nikaombwa ushauri nikaona nililete jamvini kupata mawazo zaidi..
Jamaa analalamika kuhusu mabadiliko ya tabia ya mkewe hasa makundi na ulevi . wameishi kwa kipindi cha miaka miwili tangu waoane ndoa ya kimila, mwanzo walikuwa na maelewano mazuri na hata mambo mengi walikuwa wanashirikiana katika kufanya na kuamua..
kama miezi 6 iliyopita jamaa alipata matatizo kazini yakapelekea yeye kuamua kuacha kazi ili kujinusuru na maswaiba mengineyo.. sasa mke amekuwa na makundi ya kike na kiume na kila mtu anasema n mfayakazi mwenzake , sometime anamwita jamaa awajoin kwenye kinywaji (pombe) but inakuwa in last minute.
Mke anaweza kukaa kwenye ulevi hadi saa sita usiku au nane usiku ndo anarudi nyumbani.
jamaa mwanzo alikuwa anapenda kumuuliza labda alipo anaishia kuambia yupo point A kumbe hayupo au akaambia niko njiani nakuja kuanzia saa 4 hadi 7 usiku ndo anaingia .. kwa sasa hawana maelewano mazuri ndani ya nyumba kwani jamaa ameshakuta msg hata za mapenzi kwenye simu ya mkewe na mkewe akashindwa kumshawishi jamaa na jamaa anaamua kukaa kimya maana alishawahi kutoa vipigo ila anaona kama dharau inazidi..
Ksasa hawaongei ni kama week ya tatu, mke anaweza kutoka hata kuaga hakuna na hata akirudi sometime hamsalimii jamaa na jamaa ameamua kusitisha hata huduma ya chakula cha usiku ..
Jamaa anafikiria kuachana nae ila anaumia kwani wana mtoto mchanga ana miezi 5 na mke alimwachisha ziwa mtoto akiwa na miezi 2..
Wana jamvi hili mwalionaje??