Msaada: Kujiunga rasmi na CCM

Msaada: Kujiunga rasmi na CCM

Hutajutia uamuzi wako mkuu, karibu Chama MAMA Afrika, Chama ambacho kupitia falsafa zake safi kabisa kilishiriki kikamilifu kuhakikisha nchi jirani zinapata uhuru, na bado kinaendelea kulea vyama vingine vyote hapa nchini kwa kuwaazima wagombea ambao ni wanachama wake kila uchaguzi unapotokea.
 
Nenda lumumba utapata mwongozo nyambafu unataka tupigwe ban tu humu unatuchosha unajua hilo chama lako janga kuu la dunia si la nnn humu
 
Lazima maeneo unayokaa hapo jirani kuna gereji ya magari mabovu chafu chafu hivi au sehemu ya kulaza magari usiku ... ulizia hapo kutakua na ofisi yao hapo
 
ushasema huchaguliwa na wananchi so anaweza tokea chama chochote na sio lazima CCM..basically nilichanganya na watendaji wa kijiji...you know what..sijaishi sana Tanzania so sijapatapo kujua hii mifumo vizuri ya kiutawala na ndo mana niliomba mwongozo wa kujiunga na chama cha watu na chenye demokrasia ya kweli
Soma vzr nimesema anachaguliwa na wanachama wa chama husika sio wananchi.
Uchaguzi unao wahusisha wananchi huo ni wa kiserikali sio kichama.
 
Soma vzr nimesema anachaguliwa na wanachama wa chama husika sio wananchi.
Uchaguzi unao wahusisha wananchi huo ni wa kiserikali sio kichama.
Sio kweli kuwa wajumbe wa nyumba kumi wanachaguliwa kutoka ccm japo wanaweza kuwa wanaCCM (Hawafanji shughuli za chama)
 
Sio kweli kuwa wajumbe wa nyumba kumi wanachaguliwa kutoka ccm japo wanaweza kuwa wanaCCM (Hawafanji shughuli za chama)
Sasa mkuu wangu unabishana na mtu ambaye alishakuwa katibu wa ccm kwa miaka kadhaa katiba yote ya chama imo kichwani mwangu.
Umetaka ushauri unashauriwa na kupewa maelekezo wewe unajifanya unajua,sasa kumbe kila kitu unakijua wewe yanini kuuliza sasa.
 
Ngoja nikuainishie aina za Mashina na kazi za Balozi wa nyumba kumi anayetokana na Ccm.

Aina za mashina:
1.Mashina yaliyo undwa ktk maeneo ya makazi maarufu kama Mashina ya nyumba kumi.
2.Mashina maalum yaliyo undwa katika Ofisi za Ccm,Jumuiya za wananchi zinazoongozwa na Ccm na Taasisi nyingine za Ccm.
3Mashina ya wakereketwa au Maskani kwa kule Zanzibar yaliyoundwa na wanachama wa Ccm katika maeneo husika baada ya kupata idhini ya Kamati ya Siasa ya Wilaya.
4Mashina ya nje ya nchi Mashina yaliyoundwa nje ya Nchi katika maeneo wanakoishi wanachama wa Ccm baada ya kupata idhini ya Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa.


Kazi za Balozi wa shina (Balozi wa nyumba kumi) wa Ccm.l
1.Balozi au Mwenyekiti wa Shina atachaguliwa na Mkutano wa mwaka wa Ccm wa shina.
Atakua katika nfasi ya uongozi kwa muda wa miaka mitano.
Lakini anaweza kuchaguliwa tena baada ya muda huo kumalizika.
2. atakua na madaraka ya kuangalia mambo ya Ccm na utandaji kazi katika Shina.
3.Atakua kiungo cha wanachama wote katika Shina.
4.Atakua ndiye mwenezi na mhamasishaji mkuu wa siasa ya Ccm katika eneo lake.
5.Atakua na wajibu wa kuwaeleza wanachama maamuzi yote ya Ccm,kuwaongoza na kuwashirikisha katika utekelezaji wa maamuzi hayo na kufikisha mapendekezo ya wanachama katika vikao vya juu.
6.Atakuwa na wajibu wa kufuatilia utekelezaji wa mambo yote ya siasa katika shina lake.
7.Atakuwa na wajibu wa kujenga uhusiano mwema wa wakazi wa shina lake kwa lengo la kuunda mazingira ya amani na utulivu.
8.Ataongoza Kamati ya Uongozi ya Shina pale panapohusika.
9.Atakua Mwenyekiti wa Mkutano wa Mwaka wa Ccm wa Shina na Mkutano wa Wanachama wote wa Shina.
10.Katika Mikutano atakayoongoza zaidi ya kuwa na kura yake ya kawaida atakua pia na kura ya uamuzi endapo kura zabwajumbe wanaoafiki na wasioafiki zitalingana.
Isipokuwa kwamba kama kikao anachokiongoza ni kikao cha uchaguzi,Mwenyekiti atakua na kura yake ya kawaida tu.Hatakuwa na haki ya kutumia kura yake ya uamuzi endapo kura za wajumbe zimelingana.Wajumbe wa kikao wataendelea kupiga kura mpaka hapo mshindi atakapopatikana.


Hadi hapo hakuna sehemu palipo andikwa kwamba Balozi ni muajiriwa wa Serikali na pia hakuna sehemu iliyo andikwa kwamba Balozi anatoa kadi kwa wanachama wapya.



Katibu wa siasa na uenezi wa Tawi moja ya majukuku yake ni
Ibara ya 45 (a) Kusimamia kueneza na kufafanua masuala yote ya Itikadi,Siasa na Sera za Ccm katika Tawi.a

Moja ya majukumu ya Katibu wa Tawi ni.
Ibara ya 44 (4)Atashughulikia masuala yote ya Organaizesheni ya Ccm katika Tawi ambayoni
(a)Masuala yote ya wanachama.




Hapo nimekumegea kidogo tu ili upate picha ni wapi uanzie ila muhimu umjue Balozi wako kabla hujaenda Ofisi ya Tawi maana lazima utaulizwa eneo unaloishi na kikawaida Balozi nikama mdhamini wako.

;
 
Wakati wanaoijua vizuri ccm kama Kinana wanatafuta njia ya kusepa wewe kula kulala eti unauliza uingilie mlango gani! Hakika yale maneno "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" Mungu aliyatamka kwa makusudi kabisa nawe umetudhihirishia.
Ccm wamebaki maslahi tu ila hawaipendi ccm kabisa.
 
Hicho siyo kinachoimaliza ccm bali ndicho kinachoimaliza chadema. Tindu Lissu alikuwa against Lowassa tena alikuwa mstari wa mbele kumuita fisadi mkubwa but what next akapewa nafasi ya kugombea Uraisi bila hata kufuta kauli zake.
  1. Hao hao walimuita nape kibaraka na majina mengi but now anaitwa hero
Mbona hoja unayotoa ni tofauti na nlichouliza??? Tulizungumza suala la mkuu wa mkoa kujiuzuru na iweje uwaite wapiga dili sasa lowasa inauhusiano gani na mkuu wa mkoa aliyeteuliwa na magufuli kujiuzuru?? Rudi kwenye mada kivp meck sadick au nape walipotoka madarakani ndio waitwe wapiga dili nsaidie hapo tu then tutajadili ya lisu baadae
 
Ngoja nikuainishie aina za Mashina na kazi za Balozi wa nyumba kumi anayetokana na Ccm.

Aina za mashina:
1.Mashina yaliyo undwa ktk maeneo ya makazi maarufu kama Mashina ya nyumba kumi.
2.Mashina maalum yaliyo undwa katika Ofisi za Ccm,Jumuiya za wananchi zinazoongozwa na Ccm na Taasisi nyingine za Ccm.
3Mashina ya wakereketwa au Maskani kwa kule Zanzibar yaliyoundwa na wanachama wa Ccm katika maeneo husika baada ya kupata idhini ya Kamati ya Siasa ya Wilaya.
4Mashina ya nje ya nchi Mashina yaliyoundwa nje ya Nchi katika maeneo wanakoishi wanachama wa Ccm baada ya kupata idhini ya Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa.


Kazi za Balozi wa shina (Balozi wa nyumba kumi) wa Ccm.l
1.Balozi au Mwenyekiti wa Shina atachaguliwa na Mkutano wa mwaka wa Ccm wa shina.
Atakua katika nfasi ya uongozi kwa muda wa miaka mitano.
Lakini anaweza kuchaguliwa tena baada ya muda huo kumalizika.
2. atakua na madaraka ya kuangalia mambo ya Ccm na utandaji kazi katika Shina.
3.Atakua kiungo cha wanachama wote katika Shina.
4.Atakua ndiye mwenezi na mhamasishaji mkuu wa siasa ya Ccm katika eneo lake.
5.Atakua na wajibu wa kuwaeleza wanachama maamuzi yote ya Ccm,kuwaongoza na kuwashirikisha katika utekelezaji wa maamuzi hayo na kufikisha mapendekezo ya wanachama katika vikao vya juu.
6.Atakuwa na wajibu wa kufuatilia utekelezaji wa mambo yote ya siasa katika shina lake.
7.Atakuwa na wajibu wa kujenga uhusiano mwema wa wakazi wa shina lake kwa lengo la kuunda mazingira ya amani na utulivu.
8.Ataongoza Kamati ya Uongozi ya Shina pale panapohusika.
9.Atakua Mwenyekiti wa Mkutano wa Mwaka wa Ccm wa Shina na Mkutano wa Wanachama wote wa Shina.
10.Katika Mikutano atakayoongoza zaidi ya kuwa na kura yake ya kawaida atakua pia na kura ya uamuzi endapo kura zabwajumbe wanaoafiki na wasioafiki zitalingana.
Isipokuwa kwamba kama kikao anachokiongoza ni kikao cha uchaguzi,Mwenyekiti atakua na kura yake ya kawaida tu.Hatakuwa na haki ya kutumia kura yake ya uamuzi endapo kura za wajumbe zimelingana.Wajumbe wa kikao wataendelea kupiga kura mpaka hapo mshindi atakapopatikana.


Hadi hapo hakuna sehemu palipo andikwa kwamba Balozi ni muajiriwa wa Serikali na pia hakuna sehemu iliyo andikwa kwamba Balozi anatoa kadi kwa wanachama wapya.



Katibu wa siasa na uenezi wa Tawi moja ya majukuku yake ni
Ibara ya 45 (a) Kusimamia kueneza na kufafanua masuala yote ya Itikadi,Siasa na Sera za Ccm katika Tawi.a

Moja ya majukumu ya Katibu wa Tawi ni.
Ibara ya 44 (4)Atashughulikia masuala yote ya Organaizesheni ya Ccm katika Tawi ambayoni
(a)Masuala yote ya wanachama.




Hapo nimekumegea kidogo tu ili upate picha ni wapi uanzie ila muhimu umjue Balozi wako kabla hujaenda Ofisi ya Tawi maana lazima utaulizwa eneo unaloishi na kikawaida Balozi nikama mdhamini wako.

;
Sikuwezi aisee: Kuna wajumbe wa nyumba kumi kwenye mitaa na hao unaowazungumzia wajume wa mashina wa nyumba kumi
 
Heheheeeeeeee kwakweli.
Hili nahisi ni jipu tena la Koro.
Ningesema naenda Chadema ndo mngefurahia sana...no watu lazima mkubali siasa za vyama vingi na sio lazima kila mtu aamini mnachoamini
 
Wajumbe wa nyumba kumi niwafanyakazi wa serikali sio chama mkuu..labda niulize ofisi zao hapa nilipo
Sasa ulikua unasubiri nn kama ulikua uanjua ofisi zilipo, au umeambiwa huku kuna kadi za bure
 
Wajumbe wa nyumba kumi niwafanyakazi wa serikali sio chama mkuu..labda niulize ofisi zao hapa nilipo
Viroba si waziri Mkuu alifuta? Sasa wewe unanywea wapi? Tangu lini wajumbe wa nyumba 10 wakawa watumishi wa umma?
 
Back
Top Bottom