kindikwili
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 1,862
- 2,876
Mimi kati ya vitu ninavyodhani sitakaa nifanye mpaka naondoka duniani ni kujiunga , kushabikia au kumpigia kura mtu yeyote mwenye unasaba na ccm. Mimi naamini pasipo shaka kuwa umasikini wa nchii hii, mateso ya watanzania , dhiki kuu tunayopitia kama raia chanzo chake ni ccm. Nchi hii hakuna na hakutakuwa na fisadi kama ccm. Hii ni imani yangu wala sikulazimishi uamini.
HIVI NI LINI CCM ILIJENGA VIWANJA VYOTE VYA MPIRA KILA MKOA NCHINI ? HUU NAO NI UFISADI WA KIHISTORIA
HIVI NI LINI CCM ILIJENGA VIWANJA VYOTE VYA MPIRA KILA MKOA NCHINI ? HUU NAO NI UFISADI WA KIHISTORIA