Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,299
- 4,700
Wakati wanaoijua vizuri ccm kama Kinana wanatafuta njia ya kusepa wewe kula kulala eti unauliza uingilie mlango gani! Hakika yale maneno "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" Mungu aliyatamka kwa makusudi kabisa nawe umetudhihirishia.
Mbona Dr. Slaa alisepa kutoka chadema, mbona Arfi, Zitto walisepeshwa? Muache kijana aliyejitambua ajiunge na chama chenye demokrasi ya ukweli