Msaada: Kujiunga rasmi na CCM

Msaada: Kujiunga rasmi na CCM

CCM haipokei punguani mkuu, yaani umri wako na jinsi chama kilivyotapakaa, unauliza swali la taahira hivi utasaidia nini ndani ya chama, au umaweka foleni ya kofia, tshirt, chumvi na kanga kiaina?

Sina shaka na afya zenu
Wakuu nimeamua kwa dhati kabisa kujiunga na chama kikongwe nchini na chenye ushawishi mkubwa kwa wananchi wake ukiangalia falsafa, mtizamo na sera za chama. Hii haina maana nilikuwa upinzani no. mm nilikuwa neutral sikuwahi kumiliki kadi ya chama wala kushiriki kazi zozote za kichama. Leo baada ya kutafakari nikaona kama kijana nahitajika pia kujenga nchi yangu kupitia chama na hasa CCM.

Ombi langu kwenu wadau naomba mnipe mwongozo na taratibu za kujiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM)-[Revolutionary party]

Kidumu chama cha Mapinduzi
Asanteni
 
Back
Top Bottom