zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 22,790
- 36,354
Duh sasa hujui sera na miongozo huletwa na chama tawala!!! Mfano mikataba mibovu wwe haikuathiri leo hii mnanunua umeme kwa gharama ya juu au wwe haikugusi kisa unafanya kazi??mm siamini kama chama kinaweza kuleta umaskini nasema tena siamini na uchumi mbaya sio wa chama na hauletwi na chama umaskini ni attitude zenu na utayari wa kufanya kazi hamna taifa limepata maendeleo kwa kuwa na watu kila kukicha wanashinda kwenye magenge ya kahawa
Pesa kuisha kwenye mzunguko haikuathiri hata wwe??
Sera ya uwekezaji na kodi haikuathiri wwe???
Vipaumbele vya kiuchumi haviakuathiri na wwe???
Credit creation na monetary policy kwenye money supply and demand haikuathiri wwe hasa kma ni mfanya biashara unayehitaji mikopo??
Hayo yote yanaamuliwa na chama tawala na hayo yanaweza kuleta maendeleo yakifanywa vzuri na yanaweza kuleta umaskini yakifanywa vibaya
Unaweza ukafanya kazi lakini kma sera na uongozu mbovu upo serikalini work done will be zero...... au unafkiri wakulima ambo ndio 70% ya watanzania hawapigi kazi lakini wakipata mazao hawana wateja mpaka wanaisia kuwapa ngombe wale nyanya je unategemea watapata maendeleo?? Je walimu ambao wanafundisha kwenye mazingira magumu tena chini ya miti na hku wanamalimbikizo ya madeni toka 2009 atapata maendeleo lini???
Usiongee tu general kwa kuwa umezaliwa kwenye bungarrow na sahvi unafanya kazi kweye taasis ya umma ful Air conditioned bas ndio ukaongea kwa kejeli hivyo jua kwamba 70% ya watanzania wanaishi chini ya dolla 2 kwa siku 3 (IMF)
Kwahyo nastick kwa hoja yangu kuwa kuna relationship kubwa kati ya chama tawala a maendeleo ya nchi kwa sababu ya SERA na UONGOZI..... anyway the choice urs