Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,631
- 39,613
Recommended requirements. Win 11 inafanya kazi hadi kwenye core 2 duo.Yupo sahihi ni moja ya minimum requirements hiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Recommended requirements. Win 11 inafanya kazi hadi kwenye core 2 duo.Yupo sahihi ni moja ya minimum requirements hiyo.
Dhumuni la hawa jamaa kuleta specs hizi hasa ni lipi.Recommended requirements. Win 11 inafanya kazi hadi kwenye core 2 duo.
Hata windows 10 hizi mpya recommended specs ni Gen ya 8 lakini haimaaanishi kwamba hazitarun kwenye vifaa vyengine.Dhumuni la hawa jamaa kuleta specs hizi hasa ni lipi.
Mkuuu hili la bios na uefi naona litatukwamisha wengi au wasemaje chiefHata windows 10 hizi mpya recommended specs ni Gen ya 8 lakini haimaaanishi kwamba hazitarun kwenye vifaa vyengine.
Ni muda wa waandishi wa habari kupata views kwa kutisha Tisha watu, watu walalamike, comments ziongezeke etc.
Tusubiri itoke hio win 11 ila kwa uelewa wangu itaingia machine yoyote hadi za core 2 duo, watakuonya tu kama pc haijakidhi vigezo.
Kwamba Uefi computer yako haina ama? Ni computer gani?Mkuuu hili la bios na uefi naona litatukwamisha wengi au wasemaje chief
Update washaiachia hewani, yangu sasa hivi nimeiconvert ilikuwa legacy imekuja Uefi.Mkuuu hili la bios na uefi naona litatukwamisha wengi au wasemaje chief
Hp notbook15 ya 2014 hukoKwamba Uefi computer yako haina ama? Ni computer gani?
Mimi desktop yangu ya 2013,Hp notbook15 ya 2014 huko
PC yangu haina TPM 2. Inasema haitarun.Update washaiachia hewani, yangu sasa hivi nimeiconvert ilikuwa legacy imekuja Uefi.
Ingia kwenye bios nenda kwenye boot something cms utaona Kuna option ya legacy na uefi, chagua Uefi.
Pc ikikataa kuwaka means windows yako ipo legacy convert toka mbr kwenda gpt itakubali.
Tutorial hii hapa
How to convert MBR to GPT drive to switch BIOS to UEFI on Windows 10
A PC with UEFI is more secure and faster than the legacy one using BIOS, and here's how to switch.www.windowscentral.com
PC yangu haina TPM 2. Inasema haitarun.
Kataubali haka kweli mkuu naomba muongozoMimi desktop yangu ya 2013,
ume enable kwenye bios tpm? tpm zipo nyingi sana ya firmware, dedicated hardware, virtual etc ngumu kwa pc kukosa.PC yangu haina TPM 2. Inasema haitarun.
ndio nimekubaliwa, nipo kwenye process za kuinstall.Kataubali haka kweli mkuu naomba muongozo
Hata kwangu kompyuta zote 4 zina TPM 1.2PC yangu haina TPM 2. Inasema haitarun.
Namaanisha pc yangu hp notbook15 ya 20144 itakubali mkuu?ndio nimekubaliwa, nipo kwenye process za kuinstall.
Haya ma-window nayo haya mwishowe yatafika hadi 10000Habari za muda huu wana JF, ngoja niende kwenye maada baada ya leo hii kuwa na event ya window 11 nilizania wataachia leo hii official ili tutumie ila niliposikia kuwa. Mpaka mwakani 2022 mwanzoni ndio zitaanza kupatikana. Lakini kabla ya leo kulikuwa kuna window 11 ambayo ilikuwa leakage naimani kuna baadhi ya watu wame install hiyo leakage window 11 nauliza tu. Je to install hiyo leakage au tutulie kwanza?? Na hivi vitu walivyo kuwa wanatangaza leo microsoft vipo sawa na hiyo leakage au tume pigwa??
Chief-Mkwawa View attachment 1828907