Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
- Thread starter
- #21
Nitajuaje kama pc yangu ina TPM 2Walikuja ku clarify baadae minimum requirements ni 1.2 kwa hardware na software ndio hio 2.0, software/firmware ni code tu zitaandikwa.
Nitajuaje kama pc yangu ina TPM 2Walikuja ku clarify baadae minimum requirements ni 1.2 kwa hardware na software ndio hio 2.0, software/firmware ni code tu zitaandikwa.
Search TPM.msc kwenye search bar ya pc.Nitajuaje kama pc yangu ina TPM 2
Sio mwakani. Ni mwaka huu karibia na mwshoni kma siku zote ilivyo
imeandikwa hapo specification version 2.0, hivyo inayo
Sisi wenye core i2 hapa hapatufai turudi zama za 2000😀😀😀Basi wanajichanganya wao wenyew. Maana kwenye page ya Windows 11 announcement sehem ya system requirements wanasema TPM 2.0 na tool waliyotoa ya kucheck compatibility inagoma kma una TPM 1.2
Link:Windows 11 Specifications - MicrosoftView attachment 1829283
Aaanh!! Kingine nataka kujua msaada wa hiyo kituimeandikwa hapo specification version 2.0, hivyo inayo
Mfano mm pc yanguimeandikwa hapo specification version 2.0, hivyo inayo
Nimeona Wana update pc health app wanasema anytime next week ambao ni insider wataweza kuweka win 11, lakini ndio hio beta.Very true.
Pia hiyo Beta iko based on build ya zamani.
ni heri kusubiri stable version December
Ni security chip tu, mambo ya ulinzi wa pc, encryption etc.Aaanh!! Kingine nataka kujua msaada wa hiyo kitu
Programs ya kuangalizua kama pc insuport ina bugs sasa hivi haifanyi kazi kama inavyotakiwa. Ila yako itakubali 99%, subiria wiki ijayo.Mfano mm pc yangu
Processor 2.6
Generation 6
Ram 8
HDD 1 TB
Je nitaweza pata hiyo window 11
Haya kiongozi wanguPrograms ya kuangalizua kama pc insuport ina bugs sasa hivi haifanyi kazi kama inavyotakiwa. Ila yako itakubali 99%, subiria wiki ijayo.
Mkuu habari mi ilipotoka tu nli idiwnload nikajaribu ikanambia at PC haimeet minimum requirements, pc yangu ni dell inspiron 3521 RAM 4GB HDD 500, au ndo hio point 2 haifiki....!?Walikuja ku clarify baadae minimum requirements ni 1.2 kwa hardware na software ndio hio 2.0, software/firmware ni code tu zitaandikwa.
Kuna bypass method una modify iso, unatoa file husika la kucheck compability.Mkuu habari mi ilipotoka tu nli idiwnload nikajaribu ikanambia at PC haimeet minimum requirements, pc yangu ni dell inspiron 3521 RAM 4GB HDD 500, au ndo hio point 2 haifiki....!?
Fuatilia fresh huu uzi kuna link ya iso nimeweka na iko fresh tu jaribu hiyoMkuu habari mi ilipotoka tu nli idiwnload nikajaribu ikanambia at PC haimeet minimum requirements, pc yangu ni dell inspiron 3521 RAM 4GB HDD 500, au ndo hio point 2 haifiki....!?
Olazima processor yako iwe ya 8 generation. Halaf butting iwe uefiMkuu habari mi ilipotoka tu nli idiwnload nikajaribu ikanambia at PC haimeet minimum requirements, pc yangu ni dell inspiron 3521 RAM 4GB HDD 500, au ndo hio point 2 haifiki....!?
Duh! Gen ya 8 hapa mzee umetujazaOlazima processor yako iwe ya 8 generation. Halaf butting iwe uefi
Duh! Gen ya 8 hapa mzee umetujaza