Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 604
- 218
Habari za muda huu wana JF, ngoja niende kwenye maada baada ya leo hii kuwa na event ya window 11 nilizania wataachia leo hii official ili tutumie ila niliposikia kuwa. Mpaka mwakani 2022 mwanzoni ndio zitaanza kupatikana. Lakini kabla ya leo kulikuwa kuna window 11 ambayo ilikuwa leakage naimani kuna baadhi ya watu wame install hiyo leakage window 11 nauliza tu. Je to install hiyo leakage au tutulie kwanza?? Na hivi vitu walivyo kuwa wanatangaza leo microsoft vipo sawa na hiyo leakage au tume pigwa??
Chief-Mkwawa
Chief-Mkwawa
