Sema hisens ndo matatizo yakeUmeingia cha kike
upo sahihi mkuu ni kweli huwa sina mazoea ya kuzima ukutani..na ni box hilo hilo la khakiHasa hizi View attachment 2238406
Nilikua na mpango wa kuchuku hizo hisense..kumbe ni vipengele?upo sahihi mkuu ni kweli huwa sina mazoea ya kuzima ukutani..na ni box hilo hilo la khaki
Naweza kukusaidiakuna fundi unaweza nisaidia kunitengenezea au na ww mwenyewe ni fund?
Ukitaka pata box jeupe zile hazisumbui SanaNilikua na mpango wa kuchuku hizo hisense..kumbe ni vipengele?
#MaendeleoHayanaChama
Nashukuru kaka.nitakupigiaItakuwa poa kama utakuja ukiwa umeweka kwenye box lake pia usisahau warant cad
Nipo kariakoo jengo la simba sport club hapa ...... warant cad ninnzuri kama bado ipo valid nikusaidie kupeleka services centre ili kupunguza garama
Unatumia stablelizerHabari zenu,
Naombeni msaada wa kitaalamu,Tv yangu imegoma kuwaka ghafla tu...Inawaka taa nyekundu ya power button,ila ukiswitch On haidisplay chochote!
Kwa anaefamu tatizo,na Cost zake naomba msaada tafadhari.
Zenye box jeupe ndiyo hazisumbui au zile za box ya kaki?Ukitaka pata box jeupe zile hazisumbui Sana
Hata kuzima shortcut ni mbayaTabia yangu ya kupitiwa usingizi na kujisahau kuzima kwenye ukuta kumbe ipo siku itanicost..🥲
Inatakiwa kuzima kwanza kwa remoti yake kisha ndo unazima ukutani.. sio ndio mkuu?Hata kuzima shortcut ni mbaya