Fohadi
JF-Expert Member
- Jul 24, 2020
- 774
- 2,432
Habarini wakuu.
Nimeibiwa simu yangu hivyo uamuzi niliochukua ni kutafuta nyingine kwani kuifatilia iliyopotea naona nitapoteza muda mwingi na hela nyingi...
Nimeamua kutafuta simu nyingine ambayo bajeti yake haizidi 350k. Katika pitapita zangu mtandaoni nimevutiwa na VIVO Y20 ambayo specifications zake ni zifuatazo:-
Ram 4GB....Storage 64GB...Battery capacity 5000 mAh....OS Android 10...Rear camera ni 13MP + 2MP +2MP
Mimi sio mtaalam sana wa mambo ya simu hivyo ningependa kuomba mwongozo kutoka kwa wenye uelewa na maswala ya simu kabla sijatoa pesa.
Na ningependa pia kusikia ushuhuda kutoka kwa waliowahi/wanaotumia VIVO kwa muda mrefu
Natanguliza shukrani zangu.
Nimeibiwa simu yangu hivyo uamuzi niliochukua ni kutafuta nyingine kwani kuifatilia iliyopotea naona nitapoteza muda mwingi na hela nyingi...
Nimeamua kutafuta simu nyingine ambayo bajeti yake haizidi 350k. Katika pitapita zangu mtandaoni nimevutiwa na VIVO Y20 ambayo specifications zake ni zifuatazo:-
Ram 4GB....Storage 64GB...Battery capacity 5000 mAh....OS Android 10...Rear camera ni 13MP + 2MP +2MP
Mimi sio mtaalam sana wa mambo ya simu hivyo ningependa kuomba mwongozo kutoka kwa wenye uelewa na maswala ya simu kabla sijatoa pesa.
Na ningependa pia kusikia ushuhuda kutoka kwa waliowahi/wanaotumia VIVO kwa muda mrefu
Natanguliza shukrani zangu.