Msaada kuhusu Samsung Galaxy na nyingine.

Kennedy

JF-Expert Member
Dec 28, 2011
49,015
54,296
Heshima mbele wakuu. Naomba kujulishwa kuhusu samsung galaxy kama inatumia dual simcard? Lakini pia aina nzuri ya samsung dual simcard ambayo pia ina weza kuwa nzuri ktk kufungua huduma za Internet bila shida. Tafadhali mwenye utaalamu anijuze,natanguliza shukrani tele kwenu vyote.
 
Back
Top Bottom