Msaada kuhusu Samsung Galaxy na nyingine.

Msaada kuhusu Samsung Galaxy na nyingine.

Kennedy

Platinum Member
Joined
Dec 28, 2011
Posts
61,924
Reaction score
75,164
Heshima mbele wakuu. Naomba kujulishwa kuhusu samsung galaxy kama inatumia dual simcard? Lakini pia aina nzuri ya samsung dual simcard ambayo pia ina weza kuwa nzuri ktk kufungua huduma za Internet bila shida. Tafadhali mwenye utaalamu anijuze,natanguliza shukrani tele kwenu vyote.
 
samsung galaxy ipi ..au unamaanisha galaxy tab? please be specific...
 
Back
Top Bottom