Kampuni gani hiyo??????
![]()
Viettel.
Kampuni gani hiyo??????
![]()
Viettel.
Hiki n kipind ambacho mwajiri anampima mwajiriwa kama anaweza kufit kwenye nafas husika na hii hufanya kipind cha miez kum na mbil au zaid kutgemeana na maelewano na isipungue miez sita labda kama mtu huyo anauzoefu na hyo ofic
katika kipind hiki ikionekana hufai unapewa taarfa ya kujierkebisha ikionekana huelekei unaondolewa sasa sijui kama hao walikuwa wanapewa taarifa ya utendaj wao kabla ya kutimuliwa au laa
Huku ni tofauti kidogo, plobation ni miez 3, kuhusu onyo cjashuhudua ila ni boss tu akiona performance haimlidhishi anampigia cm hr ana terminate.
Viettel.