Msaada kuhusu probation

Msaada kuhusu probation

Kampuni gani hiyo??????
logo2.png

Viettel.
 
Hiki n kipind ambacho mwajiri anampima mwajiriwa kama anaweza kufit kwenye nafas husika na hii hufanya kipind cha miez kum na mbil au zaid kutgemeana na maelewano na isipungue miez sita labda kama mtu huyo anauzoefu na hyo ofic

katika kipind hiki ikionekana hufai unapewa taarfa ya kujierkebisha ikionekana huelekei unaondolewa sasa sijui kama hao walikuwa wanapewa taarifa ya utendaj wao kabla ya kutimuliwa au laa


kisheria ni miezi mitatu,baada ya hapo kuna mambo yafuatayo yanaweza kufuata
1. kuajiriwa
2. kusaini kazi ya mkataba
3. kufanya kama kibarua
4. kuondolewa katika kampuni
5. kuendelea katika uchunguzi husika
 
Huku ni tofauti kidogo, plobation ni miez 3, kuhusu onyo cjashuhudua ila ni boss tu akiona performance haimlidhishi anampigia cm hr ana terminate.

Dah hilo ni tatizo kwa kweli kimsingi mfanyakazi anatakiwa apewe onyo kwanza kabla ya kumchukulia hatua ya kufukuzwa kazi. Pia kipind cha majaribio yaan probation kinaweza kuwa miezi mitatu hadi sita na sio zaidi ya hapo. Ndani ya kipndi hicho mwajiri anaangalia utendaji wa mfanyakazi then kama ataridhishwa basi mfanyakazi anatakiwa apewe taarifa ya utendaj wake wa kazi

Naomba kuwasilisha
 
Back
Top Bottom