Abx
Senior Member
- Oct 16, 2012
- 138
- 77
Ukisoma sheria ya ndoa inaeleza kuwa mtu akitoweka kwa muda fulan bila kuonekana wala kutopatikana kwa taarifa zake mahakama inaweza kutoa maamuzi ya kusadikika (prusumption of dealth) kuwa huyo mtu kafa.
Sasa swali ni pale mahakama imetoa maamuzi hayo na mali za huyo mtu zimegawiwa kwa warithi wake na baadae akatokea huyo mtu. Nafasi ya sheria ikoje kuhusu kurudisha mali zake na taratibu zikoje kisheria?
Sasa swali ni pale mahakama imetoa maamuzi hayo na mali za huyo mtu zimegawiwa kwa warithi wake na baadae akatokea huyo mtu. Nafasi ya sheria ikoje kuhusu kurudisha mali zake na taratibu zikoje kisheria?