kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Nimeona tajiri namba moja duniani akishauri watu wahamie signal.
Kuna shida gani na new policy?Mi nilidhani ni kwa watu maskini tu wasioweza kununua simu zinazoendana na update zao.
Pia kuna mtu anajiita kigogo naye anapigia debe signal.
Kuna shida gani na new policy?Mi nilidhani ni kwa watu maskini tu wasioweza kununua simu zinazoendana na update zao.
Pia kuna mtu anajiita kigogo naye anapigia debe signal.